Hivi jamaa nini kimemkutaUnafahamu kilicho msibu baada ya tukio lile la kumjibu Pombe..??
Wamemfanya nini Mkuu? Sasa nawewe mbona unaleta habari nusu nusu kama Wapemba?Unafahamu kilicho msibu baada ya tukio lile la kumjibu Pombe..??
Mkuu, sitaki kuleta tafrani tafadhali.Hivi jamaa nini kimemkuta
Mkuu, mimi sijaleta habari.Wamemfanya nini Mkuu? Sasa nawewe mbona unaleta habari nusu nusu kama Wapemba?
😆😆✔️✔️Tuache utani yule askar magereza no1 asingekua na walinzi wa kutosha angempga kwa maoni yang anafaa kua mkuu wa majeshi CDF maana nidhamu ya uoga kwake mwiko AMENIINUA.View attachment 1166680
Kafanyiwa nini mkuu?Mkuu, mimi sijaleta habari.
Nilicho kifanya hapa ni kumjibu mleta mada kwa swali fikirishi...
Ingawa tu niseme, inasikitisha sana wallah
Achana naye huyo Mkuu. Hajui chochote kuhusu huyo Afande, anatafuta kutongozwa tu hapa.Kafanyiwa nini mkuu?
Kapandishwa cheo.Kafanyiwa nini mkuu?