digital2014
Member
- Dec 14, 2013
- 32
- 11
Ina maana waisilamu wa nchi hii hawajui hizi sheria zilizopo "common law" zimetokana na mfumo wa kikristo? Mbina hawalalamiki kuwa kodi zao zinatumiwa na mahakama zinazotumia sheria za kikristo
Hiyo MOU siyo sheria kwamba lazima ifuatwe na wala haipo kwenye sheria yoyote wala katika katiba. By the way. huduma za jamii zinazotolewa na taasisi za kdini ikiwemo BAKWATA, si kwa waislam pekee wala wakristo pekee. Ni tofauti na Mahakama ya kadhi inayoshughulikia masuala ya kidini na kwa waislam pekee. Serikali haiwezi kuendesha mambo ya ibada na kuwafanya wananchi wote hata wasio waislam kwa lazima kushiriki ibada ya dini waisiyoiamini. Mambo ya dini na imani yaendeshwe na wanaoamini dini hiyo, na huu ndiyo uhuru wa kuabudu. Mtu haabudu kwa kulazimishwa, na wala Tanzania siyo nchi ya kidini. Si ya kiislamu, wala kihindu wala kikristo. Unajua, mahakama ya kadhi inayoendeshwa na serikali ina mambo mengi yaliyojificha na naweza kuyaeleza yote hatua kwa hatua, hapa niseme moja. Zaidi ya kuwa mahakama hiyo inashughulika na mambo ya ibada kwa waislamu pekee (mambo ya kidini), kadhi na wasaidizi wake wanateuliwa na rais wa nchi. Hivyo inatoa dhana kwamba rais wa Tanzania lazima awe muislamu kwa sababu rais "kafri" hawezi kuteua kadhi anayeshughulikia mambo ya kiislamu. Maana yake ni kwamba mahakama ya kadhi ya serikali inaisilmisha nchi. Hutataki kufika huko, ndiyo maana tunasema iwe mwiko kuwa na sheria, katiba wala ahadi ya mambo ya kidini katika nchi yetu.
Na lazima tuwakomeshe, maana ukimchekea nyani utavuna mabua.
Ina maana waisilamu wa nchi hii hawajui hizi sheria zilizopo "common law" zimetokana na mfumo wa kikristo? Mbina hawalalamiki kuwa kodi zao zinatumiwa na mahakama zinazotumia sheria za kikristo
Nimekupata na ku-like post hiiMkuu,
Kama mtu hajakuelewa ana shida kubwa sana kichwani!
Umenena vizuri sana.Nadhani hamna hata haja ya kujadili jambo hili bungeni. Liishie hapo hapo lilipofika kwa usalama wa taifa letu.
Mkuu kuna mambo yamejificha mno kwenye hii kitu ya kadhi ya serikali. Wenyewe wanasema itaamua masuala yanayohusiana na jamii ya waislamu kwa sasa. Lakini pia wanasema maisha hayo ya jamii yanaongozwa na kurani na hadithi za mtume. Kwamba kwao masuala ya mirathi, malezi ya watoto, ndoa, ramadhani ni ibada. Hii ni wazi kuwa ni masuala ya kidini. Lakini pia mahitaji ya kijamii kulingana na maelekezo ya mtume na kuran yanaweza kubadilika kwa waislamu wa Tanzania, kwa mfano namna ya kuhukumu wezi. Hivyo mahakama hiyo ya kadhi ya serikali inaweza kuingiza hitaji hili siku za usoni. Na serikali si kazi yake kuzijadili hizo sheria kwa sababu ni za ibada na imani. Sasa unaweza kuona mambo mengi yaliyojificha kwenye hii kitu. Ndiyo maana tunasema masuala ya kdini yabaki kuendeshwa na watu wenye imani husika na siyo kuendeshwa na serikali na wananchi wote, hata wale wasio na imani hiyo.unashauri nini??Au ziwekwe na zile za kwenye kadhi kuwa mtoto wa kike arithi nusu ya mirathi ya mtoto wa kiume,kwamba mtoto akizaliwa nje ya ndoa au muislamu akizaa na asiye muislamu basi mtoto ni haramu na hana stahiki yoyote???
Siyo kweli. Hukumu hizo ni ibada pia na ndiyo maana zinawahusu waislamu pekee, na makafiri hawaruhusiwi kuamua katika mahakama ya kadhi. Hukumu hizo zinaendana na mafundisho ya mtume na kurani. Haya ni masuala ya imani yaendeshwe na watu wenye imani hiyo peke yao.Tatizo la wakristo hawasomi maandiko yao ukiangalia hukumu nyingi ambazo waislamu wanazitetea ni za kijamii sio kinyonyaji lakini kutokana na umagharibi uliopo vichwani mwao wanakuwa hawatafakari kabisa
Ni wapi katika katiba ya nchi ambapo mahakama za kikristo zinaendeshwa na serikali. Face the reality, kuna watu wa mila wanaamua kesi za kimila, serikali inagharimia hizo?. Vipi kuhusu mahakama za madhehebu mengine zinazoendeshwa na wenye imani husika?. Iweje mahakama ya kadhi iendeshwe na serikali na wananchi wote?. Kwani Tanzania ni nchi ya kidini? Siyo ya kihundu, kikristo wala kiislam.Ina maana waisilamu wa nchi hii hawajui hizi sheria zilizopo "common law" zimetokana na mfumo wa kikristo? Mbina hawalalamiki kuwa kodi zao zinatumiwa na mahakama zinazotumia sheria za kikristo
ccm wataombea wap kura kama ikiwa mwiko?
Tatizo la wakristo hawasomi maandiko yao ukiangalia hukumu nyingi ambazo waislamu wanazitetea ni za kijamii sio kinyonyaji lakini kutokana na umagharibi uliopo vichwani mwao wanakuwa hawatafakari kabisa
Siyo kweli. Hukumu hizo ni ibada pia na ndiyo maana zinawahusu waislamu pekee, na makafiri hawaruhusiwi kuamua katika mahakama ya kadhi. Hukumu hizo zinaendana na mafundisho ya mtume na kurani. Haya ni masuala ya imani yaendeshwe na watu wenye imani hiyo peke yao.
Mkuu, nimependa kufananisha na hadithi ya ngamia. Hebu ielezee kwa marefu yake.Hao waongo wanasema blue kumbe njano! Unakumbuka hadithi ya ngamia na bwana wake! Kaomba kuingiza kichwa kujihifadhi, akiporuhusiwa kichwa kaanza kusema mgongo na hatimaye mwili mzima na akavunja kibanda cha bwana wake!
Kusoma sana madrasa na kuacha medium and prmary school kunasababsha madhara ya akili....ndio maana mnalalamika kila sku whle hamtak kufanya kazi mnacheza bao kutwa na usku mnakesha kwenye michrku na taarabu alafu mnasema wakrsto wanapendelewa wakati wanafanya kazi kwa kujtuma 24hrsIna maana waisilamu wa nchi hii hawajui hizi sheria zilizopo "common law" zimetokana na mfumo wa kikristo? Mbina hawalalamiki kuwa kodi zao zinatumiwa na mahakama zinazotumia sheria za kikristo
Nyie waislam ndio mnaongoza kwa kutibiwa katka hosptali za makanisa na mkatkakukatka mashule ya taasisi za kkrsto chuo chenu cha kiislam morogoro mmekataa kufuata ata mfumo wa TCU kutokana na dhambi ya ubaguzi inayowatafunaWakristo kila mwaka wanapewa zaidi ya 12billion kwa kupitia mou ya kuendesha makanisa yanayosimamia huduma za jamii je hili sio udini?
Nyie waislam ndio mnaongoza kwa kutibiwa katka hosptali za makanisa na mkatkakukatka mashule ya taasisi za kkrsto chuo chenu cha kiislam morogoro mmekataa kufuata ata mfumo wa TCU kutokana na dhambi ya ubaguzi inayowatafuna[/QUOTE
Kwani tunatibiwa bure? Hiyo mou ikifa ujue na huko kijifanya kwenu kuwa mpo mbali kutatoweka kama mshumaa, acheni kufanya waislamu wajinga tena mmekuta ni watu wenye upendo na wenye kujua uvumilivu