Iwe kwa mwanaume au mwanamke

Iwe kwa mwanaume au mwanamke

IMG_9084.jpg
 
Hello 👋

Kudate na mtu amekuzidi umri kuna utamu wake sana yaan ata mwanaume ukidate na mwanamke amekuzid hamsumbuan raha tupu mapenzi mubashara mda wote hakuna utoto

Kwa wanawake serenity wenyewe mnajisikiaje kudate na mtu amekuzid umri?
Mkuu naona umeshakamata ki ajuza chako umekuja kutafuta justification humu..😄 We endelea tu mkuu sisi hatuna neno
 
Manaake hapo yeye huyo mwenye umri mkubwa anakuwa anadate na chalii anayemsumbua ila anamvumilia tu!!?
Wenye umri mkubwa si unajua soko liko chini so inabidi avumilie tu hana jinsi, na ndio maana wanakua wapole sana manake sasa wataenda wapi..? 😄😄
 
Wenye umri mkubwa si unajua soko liko chini so inabidi avumilie tu hana jinsi, na ndio maana wanakua wapole sana manake sasa wataenda wapi..? 😄😄
Wewe unawivu mbaya sana naona dalili za vidonda vya tumbo
 
Wewe unawivu mbaya sana naona dalili za vidonda vya tumbo
Ndugu yangu, wewe ukiona una date na ajuza hakusumbui ujue huyo ajuza kwanza anashukuru Mungu kukupata manake kwa umri wake nani anamfata? Kwahiyo usitegemee eti akusumbue, sijui vibomu au nini..
Hawa pisi kali miaka 20-25 wanasumbua sana kwasababu soko lao liko juu na anajua hata ukimuacha kesho ana mwingine.

Sio wivu mkuu, ndio uhalisia.
 
Ndugu yangu, wewe ukiona una date na ajuza hakusumbui ujue huyo ajuza kwanza anashukuru Mungu kukupata manake kwa umri wake nani anamfata? Kwahiyo usitegemee eti akusumbue, sijui vibomu au nini..
Hawa pisi kali miaka 20-25 wanasumbua sana kwasababu soko lao liko juu na anajua hata ukimuacha kesho ana mwingine.

Sio wivu mkuu, ndio uhalisia.
Tumepishana miaka 3 kuna shida hapo af kuwa na adabu unamuitaje ajuza?
 
Hello 👋

Kudate na mtu amekuzidi umri kuna utamu wake sana yaan ata mwanaume ukidate na mwanamke amekuzid hamsumbuan raha tupu mapenzi mubashara mda wote hakuna utoto

Kwa wanawake serenity wenyewe mnajisikiaje kudate na mtu amekuzid umri?
Sisi ndo raha zaidi....ukitaka chochote unapewa huulizwi ulizwi mara mbilimbili...raha tupu yaani...ukitaka ukajisokote vibia 50k ya fasta fasta hii hapa!..achana na maokoto mengine hayo ni Constant kama pie22/7.
 
Back
Top Bottom