Iwapo Dr.Slaa atagombe urais CHADEMA 2015!

Iwapo Dr.Slaa atagombe urais CHADEMA 2015!

Viol

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2009
Posts
25,419
Reaction score
18,341
Kama chadema ikamsimamisha Dr.Slaa kuwa mgombea urais 2015,mabadiliko yakafanywa kwenye daftari la kupigia kura.


Uchaguzi ukawa wa haki na huru.
Je ni mgombea gani toka vyama vingine au CCM anaweza kupambana naye???maana sioni mtu kushindana naye labda uchaguzi usiwe huru na wa haki.
 
itakua umepima na ugoko,sio bure.......kelele za JF humu zisikuvumbishe kichwa ,chadema hawana sera..........wao ni chama cha matukio........wanasuburi nani alikoroge waandamane.....lakini strategy za kuijenga nchi kiuchumi hamna
 
Kama chadema ikamsimamisha Dr.Slaa kuwa mgombea urais 2015,mabadiliko yakafanywa kwenye daftari la kupigia kura.


Uchaguzi ukawa wa haki na huru.
Je ni mgombea gani toka vyama vingine au CCM anaweza kupambana naye???maana sioni mtu kushindana naye labda uchaguzi usiwe huru na wa haki.

Uchaguzi hautafanyika bila Tume huru ya Uchaguzi inayoongozwa na wawakilishi wa Vyama vyote
 
itakua umepima na ugoko,sio bure.......kelele za JF humu zisikuvumbishe kichwa ,chadema hawana sera..........wao ni chama cha matukio........wanasuburi nani alikoroge waandamane.....lakini strategy za kuijenga nchi kiuchumi hamna

Chama cha matukio sio

M4C Iringa.jpg View attachment 135334
 
Viol

Nadhani kuna vitu ambavyo nyie watoto huwa hamvijui, mnakurupuka tu kuandika kiushabiki

ili chama au rais husika awe au aingie madarakani, lazima vyombo hivi vitatu vikubaliane, TISS, Jeshi na confirmation inakuja kwenye kura

huwa tunasema tunasisitiza, na tunapiga kelele kweli kweli mpaka tunawehuka na kutukanwa sana

wapinzani wanatakiwa wawe influentials, creative, consolatas, brains, visionary, foreseer.........sio matusi matusi, maandamano, hakuna solutions wala ushauri makini kutoka kwa wapinzani ili mradi chaos.....

lazima wafikie hatua kuaminisha watu wa kila hizo nyanja ...ifkie hatua kila mtu aseme ''THESE PEOPLE THEY CAN LEAD OUR COUNTRY....''

The questions is always how? when, what to do....hilo linakosekana kwa wapinzani

CCM iliishajifia siku nyingi, sisi wanyakyusa tunasema ni MSYUKA tu, lakini kivuli hiki cha chama kimekuwa kigumu kwa sababu vyama vingine vinakuwa vivuli vya CCM

Note this down, mpaka sasa sijaona na sioni tofauti ya vyama vya CDM, CCM, NCCR, CUF, TLP, sijaona.....

copy_and_paste.png
 
Viol

Nadhani kuna vitu ambavyo nyie watoto huwa hamvijui, mnakurupuka tu kuandika kiushabiki

ili chama au rais husika awe au aingie madarakani, lazima vyombo hivi vitatu vikubaliane, TISS, Jeshi na confirmation inakuja kwenye kura

huwa tunasema tunasisitiza, na tunapiga kelele kweli kweli mpaka tunawehuka na kutukanwa sana

wapinzani wanatakiwa wawe influentials, creative, consolatas, brains, visionary, foreseer.........sio matusi matusi, maandamano, hakuna solutions wala ushauri makini kutoka kwa wapinzani ili mradi chaos.....

lazima wafikie hatua kuaminisha watu wa kila hizo nyanja ...ifkie hatua kila mtu aseme ''THESE PEOPLE THEY CAN LEAD OUR COUNTRY....''

The questions is always how? when, what to do....hilo linakosekana kwa wapinzani

CCM iliishajifia siku nyingi, sisi wanyakyusa tunasema ni MSYUKA tu, lakini kivuli hiki cha chama kimekuwa kigumu kwa sababu vyama vingine vinakuwa vivuli vya CCM

Note this down, mpaka sasa sijaona na sioni tofauti ya vyama vya CDM, CCM, NCCR, CUF, TLP, sijaona.....

copy_and_paste.png

Sio kwel mm nakataa, ila ckatai ilinikubar nipe ushahid, kunachama gn ni kivul cha ccm
 
Uchaguzi hautafanyika bila Tume huru ya Uchaguzi inayoongozwa na wawakilishi wa Vyama vyote

Nyie vuteni bangi huko, halafu mje hapa kudanganyana kuwa uchaguzi hautafanyika. Uchaguzi 2015 uko pale pale, hata kama daftari halijaboreshwa na hata kama tume haijabadilishwa!
 
itakua umepima na ugoko,sio bure.......kelele za JF humu zisikuvumbishe kichwa ,chadema hawana sera..........wao ni chama cha matukio........wanasuburi nani alikoroge waandamane.....lakini strategy za kuijenga nchi kiuchumi hamna

Je wewe unaona ni chama gani chenye Strategy za Kuijenga Nchi?
Je Ni MAGAMBA aka Chama cha Mafisadi (CCM) ?
 
Nyie vuteni bangi huko, halafu mje hapa kudanganyana kuwa uchaguzi hautafanyika. Uchaguzi 2015 uko pale pale, hata kama daftari halijaboreshwa na hata kama tume haijabadilishwa!

mnaota ndoto za mchana,kama mnadanganyana hapo lb7 kuwa kuna uchaguzi wa aina hiyo mpate mwanya wa kuiba kura,jiandaeni kisaikolojia kushuhudia mizigo yote ikishushwa!!!! poleni sana kwa hilo!
 
Nyie vuteni bangi huko, halafu mje hapa kudanganyana kuwa uchaguzi hautafanyika. Uchaguzi 2015 uko pale pale, hata kama daftari halijaboreshwa na hata kama tume haijabadilishwa!

subiri uchaguzi serikali za mitaa uone mnavyoangukia pua!
 
Kama chadema ikamsimamisha Dr.Slaa kuwa mgombea urais 2015,mabadiliko yakafanywa kwenye daftari la kupigia kura.


Uchaguzi ukawa wa haki na huru.
Je ni mgombea gani toka vyama vingine au CCM anaweza kupambana naye???maana sioni mtu kushindana naye labda uchaguzi usiwe huru na wa haki.

Jembe Lowassa, "kubwa la maadui", "the Don himself" kiboko ya viongozi wa ccm, mwenyekiti wa CCM (kivuli) anayeongoza chama akiwa Monduli.
 
Viol

Nadhani kuna vitu ambavyo nyie watoto huwa hamvijui, mnakurupuka tu kuandika kiushabiki

ili chama au rais husika awe au aingie madarakani, lazima vyombo hivi vitatu vikubaliane, TISS, Jeshi na confirmation inakuja kwenye kura

huwa tunasema tunasisitiza, na tunapiga kelele kweli kweli mpaka tunawehuka na kutukanwa sana

wapinzani wanatakiwa wawe influentials, creative, consolatas, brains, visionary, foreseer.........sio matusi matusi, maandamano, hakuna solutions wala ushauri makini kutoka kwa wapinzani ili mradi chaos.....

lazima wafikie hatua kuaminisha watu wa kila hizo nyanja ...ifkie hatua kila mtu aseme ''THESE PEOPLE THEY CAN LEAD OUR COUNTRY....''

The questions is always how? when, what to do....hilo linakosekana kwa wapinzani

CCM iliishajifia siku nyingi, sisi wanyakyusa tunasema ni MSYUKA tu, lakini kivuli hiki cha chama kimekuwa kigumu kwa sababu vyama vingine vinakuwa vivuli vya CCM

Note this down, mpaka sasa sijaona na sioni tofauti ya vyama vya CDM, CCM, NCCR, CUF, TLP, sijaona.....





Sasa nimeelewa kwa nini Zitto amekuwa swahiba wa Jack Zoka kumbe siri iliyopo ni lazima TISS wakukubali ndipo uwe Rais wa Bongo.Hivyo anajiweka karibu na hao jamaa kwa imani kuwa wakimkubali Urais kaukwaa.

Waberoya nakukubali sana na usemacho kina ukweli ndani yake lakini kwa TISS ya sasa na JWTZ ya leo chochote kinaweza kutokea.
 
Kama chadema ikamsimamisha Dr.Slaa kuwa mgombea urais 2015,mabadiliko yakafanywa kwenye daftari la kupigia kura.


Uchaguzi ukawa wa haki na huru.
Je ni mgombea gani toka vyama vingine au CCM anaweza kupambana naye???maana sioni mtu kushindana naye labda uchaguzi usiwe huru na wa haki.

Kwa akili yako huyu BABU anaweza kupambana na mwamba wa kale Lowassa?
 
Kwa akili yako huyu BABU anaweza kupambana na mwamba wa kale Lowassa?

unashindana na makamu mwenyekiti mstaafu wa chama chako malechela kuwa lowasa hafai kuongoza nchi? ccm mmeshachanganyikiwa ! ni LAANA YA WATANZANIA
 
itakua umepima na ugoko,sio bure.......kelele za JF humu zisikuvumbishe kichwa ,chadema hawana sera..........wao ni chama cha matukio........wanasuburi nani alikoroge waandamane.....lakini strategy za kuijenga nchi kiuchumi hamna

ubongo wako una makengeza!!!
 
Back
Top Bottom