Mjenda Chilo
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 1,467
- 513
Tumemsikia Balozi kagasheki waziri wa maliasili na utalii akimponda Msigwa na maoni ya kambi ya upinzani.
Imekuwa kawaida kupata hizo documents humu ndani, tunaomba muirushe nasi tuisome, au kwakuwa Maige kang'oka basi mvuto haupo?
Imekuwa kawaida kupata hizo documents humu ndani, tunaomba muirushe nasi tuisome, au kwakuwa Maige kang'oka basi mvuto haupo?