engmtolera
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,150
- 1,437
Weka Link mkuu.
kaka
situmii link naangalia kupitia TV4AFRICA
Weka Link mkuu.
Mkuu mpira hauko hivyo, mpira sio uwezo tu ni pamoja na bahati, unaweza kuamini kama Ufaransa waliondoka bila kushinda mechi hata moja kombe la dunia 2002 na walikuwa na washambuliaji nyota kabisa watatu wa daraja la dunia, huwezi jua leo bahati inaweza kuwa upande wetu ukashangaa kila cross ya Gervinho Drogba akipiga kichwa inagonga mwamba au inatoka nje au Kaseja anadaka halafu ghafla dakika ya 88 Ngasa akanasa pass ya Salum Abubakar na kukimbia nao huku Samatta akifuatia kwa kasi na mara Ngasa anafyatua Kombora ambalo Barry anapangua na kurudi uwanjani halafu inakutana na Samatta anamaliza kazi. Itakuwaje hapo? lazima uzime TV.
mwenye kujua link inayoonyesha atupie humu
Lazima tuandamane manake timu yetu haina uwezo huo na hata wachezaje wetu pia wanajua hilo wamekula lift mpaka huko tu na selection yenyewe siyo nzuri ni simba tupu.
kaka
situmii link naangalia kupitia TV4AFRICA
hapa bongo tutaona kupitia tv gani jamani, msaada please, dakika chache kabla mpira haujaanza....
Je hakuna online TV nyingine inaonyesha hii mechi?? maana huku nadhani siwezi ipata hiyo TV, naombeni mwenyeonline link atuwekee hapa tuoneGame saa mbili usiku kwa saa za Tanzania ambapo ni saa 11 jioni kwa saa za Ivory Coast. Inaonyeshwa na RTI 1 TV ya Abidjan. Kazi kwako!
shilingi ngapi mkuu,na nitaupataje huo mzigo wangu hiyo saa nne kasoro game itakapokuwa imekamilika?
Mkuu asante sana mkuu!Game saa mbili usiku kwa saa za Tanzania ambapo ni saa 11 jioni kwa saa za Ivory Coast. Inaonyeshwa na RTI 1 TV ya Abidjan. Kazi kwako!
wakuu gemu ikianza tutupieni linka hapa
Je hakuna online TV nyingine inaonyesha hii mechi?? maana huku nadhani siwezi ipata hiyo TV, naombeni mwenyeonline link atuwekee hapa tuone
Game limeanza dakika saba now hakna bao. Nacheki pia game la Sudan vs Zambia nitawapeni updates mechi zote hizi