ivi wachagga wanachezaga mpira?

ivi wachagga wanachezaga mpira?

utafiti

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2013
Posts
12,783
Reaction score
7,671
wakuu naomba kuuliza hili swali ivi hawa wa Moshi wanaweza kweli football? sijawahi kusikia '....anakwenda pale masawe.....masawe anampa shirima......tittu....
 
wakuu naomba kuuliza hili swali ivi hawa wa Moshi wanaweza kweli football? sijawahi kusikia '....anakwenda pale masawe.....masawe anampa shirima......tittu....
sasa anakwenda pale chuwa,anatoa pasi nzito kwake lymo

teh teh sijawahi kuwasikia aisee
 
Ukimuona mchagga anacheza mpira ujue kazaliwa au kukulia nnje ya mkoa wa kilimanjaro.tenga kakulia morogoro.tatizo ni muda kwani wao saa za mazoezi wanakata kilaji
 
Wapo wanaocheza labda wachache sana wanafika hadi kucheza timu za ligi kuu, lakini ninaowakumbuka kwa haraka haraka: Tenga, Christopher Alex Masawe, George Minja, Golikipa Munishi, kuna dogo mmoja pia alikuwa anachezea timu ya mkoa wa Mwanza kwenye mashindano ya Coca cola.
 
Christopher Alex Massawe, Deogratius Munishi.... hao na baadhi tuu...
 
emmanuel masawe yupo na nilisoma nae mimi pale uhuru sec shinyanga
 
Hahhaha akina mallya na kileo sijawahi sikia hata

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom