kaburungu
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 3,585
- 6,602
Ni sawa na mtu akiona mwanamke mja mzito barabarani, anajua moja kwa moja sio tasa. Hata kama una watoto kumi nyumbani ukitembea barabarani nani anajua unazaa au huzai? hahahaha
Roulette
Ha ha ha ha haaaaaaaa!! Ama kweli JF ni zaidi ya burudani, asante mkuu wangu.
Last edited by a moderator: