Mlitika
JF-Expert Member
- Mar 23, 2012
- 457
- 260
Enzi za Mwalimu ilikuwa ukimtaka demu inakubidi uandike barua uchore na maua mazuri afu unampatia rafiki yake (baada ya kununulia fanta) ampelekee. Kuanzia hapo kazi ishakuwa rahisi, mkikutana unaliza tu: "Majibu yangu lini?"
Kwenye hii doti komu jeneresheni tasnia hii ya utongozaji imekaaje? Kwenu wadau.
Kwenye hii doti komu jeneresheni tasnia hii ya utongozaji imekaaje? Kwenu wadau.