Ivi kitambi ni afya au ugonjwa?

Boloyoung

JF-Expert Member
Aug 24, 2015
682
652
Bill Gates ana USD billioni 90 hana kitambi, Mohammed Dewji ana USD billion 1.3 hana kitambi, Mark Zuckerberg ana USD billion 54 hana kitambi, Amancio Ortega ana USD billion 74 hana kitambi, Aliko Dangote ana USD billion 16 hana kitambi. Ila wewe na kamshahara kako ka 478,400 huwezi hata kutembea kwasababu ya likitambi lako au ndo afya au unaumwa?!
 
Kitambi ni a sign of obesity, na being obese sio healthy
 
Ni ugonjwa ila cha ajabu kuna baadhi ya wanaume wanavipenda

Alafu inakuwaje mtu unaruhusu kitambi kikutokee
 
Back
Top Bottom