Iundwe mamlaka ya kutathmini na kudhibiti gharama za hotel

kisinja

JF-Expert Member
Sep 30, 2013
241
295
Kwa maoni yangu na hali ilivyo napendekeza iundwe mamlaka au chombo chochote kitakachopewa jukumu pamoja na mengine kutatmini ubora wa hoteli pamoja na kudbibiti bei hasa ya vyakula na malazi.

Kwa wale ambao wanatumia sana hoteli hasa wawapo safarini kikazi au kwa shughuli zingine mtagundua kwamba hoteli nyingi hasa kwa dar es salaam zinatoza gharama kubwa sana tena kwa dola za kimarekani lakini huduma haziendani kabisa na gharama husika.

Mfano mdogo kbsa ni palm beach ambapo wanatoza USD 85 na gharama ya chini ni USD 50 lakini vyumba vyake ni afadhali hoteli ya sh. 40000. Huu ni mfano mmoja na ipo mingine mingi.

Serikali liangalieni hili
 
Dawa ni rahisi sana,fungua biashara ya hotel itakayokuwa na ubora wa hali ya juu lkn gharama zake ni nafuu kabisa,I guarantee you that you will force them to have two choices; either to walk out of the business or to lower the costs of their services. Tanzania hatuna wafanyabiashara wanaotafuta na kuzichangamkia fursa kama hizi isipokuwa tuna wafanyabiashara walafi wa utajiri wa haraka kwa gharama zozote zile!
 
Dawa ni rahisi sana,fungua biashara ya hotel itakayokuwa na ubora wa hali ya juu lkn gharama zake ni nafuu kabisa,I guarantee you that you will force them to have two choices; either to walk out of the business or to lower the costs of their services. Tanzania hatuna wafanyabiashara wanaotafuta na kuzichangamkia fursa kama hizi isipokuwa tuna wafanyabiashara walafi wa utajiri wa haraka kwa gharama zozote zile!

Kwa hiyo ukilalamikia huduma fulani, ni bora uifungue

ukilalamikia hospitali- uwe nayo yako

ukilalamia polisi-fungua kituo chako

yaani mpaka magufuli akilalamikiwa utamwambie amchonge mwingine

Ndalichako ana kazi nzito sana
 
Huuh unategemea USD 85-50 hotel iwe nzuri? Nenda kwenye hoteli wanazotoza USD 350> uone huduma zao zilivyokuwa bomba...
 
I speak like a realist, that's how things go down in the capitalist world, the government can do nothing about it otherwise they choose to go communist like North Korea.
Kwa hiyo ukilalamikia huduma fulani, ni bora uifungue

ukilalamikia hospitali- uwe nayo yako

ukilalamia polisi-fungua kituo chako

yaani mpaka magufuli akilalamikiwa utamwambie amchonge mwingine

Ndalichako ana kazi nzito sana
 
Back
Top Bottom