ITV vs StarTv

ITV vs StarTv

ITV huwa naangalia zaidi zile movie za Latin America, in general Taarifa yao inaniboa. Na hasa kile kipima Joto chao; .......... kukithiri kwa uchafu Manzese zilaumiwe mamlaka zinazohusika? .........So what!!!!!!!!!! au ndo mradi wa SMS.
 
inaweza kuwa hivyo, maana ni Kituo cha muda mrefu, ni sawa na handset miaka ya tisini ziliitwa mobitel, dawa ya kupolishi viatu iliitwa Kiwi, kalamu ya wino iliitwa Biki, hizo ni brand ambazo watumiaji walidhani ni name of products.....hivyo kwa kadri siku zinavyoenda ITV inaonekan ni kituo cha hovyohovyo kuliganisha na vingine vyoote nnchi hii.
wasipokua makini miaka si mingi watu watahamishia mawazo na fikra zao TBC.

filling station kuitwa SHELL
 
Daaah DSTV wameniharibu sana. Ila Jumamosi niko na Dotto Bulendu
 
Naipongeza ITV kwa kurusha habari za UKAWA bila aibu wala fitna kulinganisha na wale Jamaa wa tbccm.
 
Binafsi natazama Startv nikimkosa samadu siku imeharibika
 
Back
Top Bottom