ITV tuonesheni ndoa ya Mengi na Klyn!

meningitis

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2010
Posts
8,464
Reaction score
4,829
Huu ni udaku full.
Ni mara nyingi ITV huwa wanampa airtime ya kutosha mzee wetu Mengi akiwa kwenye matukio mbalimbali.

Nawashawishi waandae kipindi maalumu cha kuonesha ndoa ya Mzee wetu ilivyofana.

Ndoa ni heshima sio kificho!
 
Washaonesha mara ngapi ndoa zake za hapo awali?
 
Haya hiyo hapo, sema unahitaji na nini zaidi
 

Attachments

  • 1428169376223.jpg
    49.4 KB · Views: 584
Na hiyo
 

Attachments

  • 1428169456866.jpg
    48.4 KB · Views: 500
Money, ooooh money money money
 
wataonyesha vip wakati ana mke wake wa ndoa.
 
Ukiwa maskini wa pesa utaishia kutoa kauli nyiiingi, ooh unajua, mara aah yule mwizi, aaah wapi mimi, mara basi tu inge...'
Ila wacha mzee mwenzangu afaidi dunia bana.
 

Attachments

  • 1428173878813.jpg
    28.5 KB · Views: 369
  • 1428173890613.jpg
    27.8 KB · Views: 360
Huu ni udaku full.
Ni mara nyingi ITV huwa wanampa airtime ya kutosha mzee wetu Mengi akiwa kwenye matukio mbalimbali.

Nawashawishi waandae kipindi maalumu cha kuonesha ndoa ya Mzee wetu ilivyofana.

Ndoa ni heshima sio kificho!

si mzee tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…