DCONSCIOUS
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 1,269
- 473
Leo kwenye taarifa ya habari nimeshuhudia akionyesha mkutano wa ccm bila ya kuonyesha watu walio hudhuria. Kwani sauti za watu walio kuwa wameudhuria ilikuwa ni ndogo sana. Nakuishia kuchukua picha yawazungumzaji tu .Tofauti na ilivyo kuwa kwa chadema