ITV nawapongeza kwa kuiondolea aibu ccm

DCONSCIOUS

JF-Expert Member
Oct 4, 2010
1,269
473
Leo kwenye taarifa ya habari nimeshuhudia akionyesha mkutano wa ccm bila ya kuonyesha watu walio hudhuria. Kwani sauti za watu walio kuwa wameudhuria ilikuwa ni ndogo sana. Nakuishia kuchukua picha yawazungumzaji tu .Tofauti na ilivyo kuwa kwa chadema
 
Bila shaka mchango wetu kwenye thread ya juzi kuhusu itv kuonyesha upendeleo wa wazi kwa magamba umewafikia. Hata kama Novatus wa itv aliyeko huko Arumeru ni kada wa magamba, lakini anapaswa kuriport hali halisi ya mikutano yetu ya kampeni ya CDM, na siyo kupindisha pindisha ukweli. BRAVO CDM!!
 
Leo kwenye taarifa ya habari nimeshuhudia akionyesha mkutano wa ccm bila ya kuonyesha watu walio hudhuria. Kwani sauti za watu walio kuwa wameudhuria ilikuwa ni ndogo sana. Nakuishia kuchukua picha yawazungumzaji tu .Tofauti na ilivyo kuwa kwa chadema

mikutano hiyo ina ngazi mbalimbali kuna ya mitaa na vijiji itashangaza mkutano wa kijiji kimoja ambacho hakizidi watu 300 kuwa na umati novatus namuamini anajua kazi yake,lakini ukiangalia habari za cdm picha ni ile ile lakini waungwana hamulioni hilo na tena sasa cdm wanakosa watu inawabidi kufanya mikutano bila kupanga katika minada na masoko lakini ukirudi katika taarifa ya habari ya leo je uliangalia ya saa tano ? nafikiri ya saa mbili ilikuwa na tatizo la kiufundi kwani ya saa tani ilikuwa na picha nzuri sana tofauti na ya saa mbili na mwisho mimi sidhani issue ya kujaa watu kama ni muhimu sana kuliko ujumbe wa majukwaani
 
mikutano hiyo ina ngazi mbalimbali kuna ya mitaa na vijiji itashangaza mkutano wa kijiji kimoja ambacho hakizidi watu 300 kuwa na umati novatus namuamini anajua kazi yake,lakini ukiangalia habari za cdm picha ni ile ile lakini waungwana hamulioni hilo na tena sasa cdm wanakosa watu inawabidi kufanya mikutano bila kupanga katika minada na masoko lakini ukirudi katika taarifa ya habari ya leo je uliangalia ya saa tano ? nafikiri ya saa mbili ilikuwa na tatizo la kiufundi kwani ya saa tani ilikuwa na picha nzuri sana tofauti na ya saa mbili na mwisho mimi sidhani issue ya kujaa watu kama ni muhimu sana kuliko ujumbe wa majukwaani

Heee! Kumbe mikutono yote wanafanya kwenye vijiji vya wa masai?.....Pia uo ujumbe utampa nani kama hakuna wa kukusikiliza? Au ndio mnasubiria kuongeza hivyo vituo feki??
 
mikutano hiyo ina ngazi mbalimbali kuna ya mitaa na vijiji itashangaza mkutano wa kijiji kimoja ambacho hakizidi watu 300 kuwa na umati novatus namuamini anajua kazi yake,lakini ukiangalia habari za cdm picha ni ile ile lakini waungwana hamulioni hilo na tena sasa cdm wanakosa watu inawabidi kufanya mikutano bila kupanga katika minada na masoko lakini ukirudi katika taarifa ya habari ya leo je uliangalia ya saa tano ? nafikiri ya saa mbili ilikuwa na tatizo la kiufundi kwani ya saa tani ilikuwa na picha nzuri sana tofauti na ya saa mbili na mwisho mimi sidhani issue ya kujaa watu kama ni muhimu sana kuliko ujumbe wa majukwaani
Hapo ndipo ulipopotoka! Ni kweli lazima uhisi picha ya CDM ni ile ile ya uzinduzi jinsi watu wanavyojaa mikutano yote. Sasa tumia akili kidogo tu kutofautisha, kwenye uzinduzi Dr. Slaa hakuwepo.
 
bigman watu 300 ni level ya mtaa, hizo ni kaya 50 tu! Hakuna kijiji chenye watu 300!
 
Back
Top Bottom