
- Joined
- Aug 20, 2011
- Messages
- 1,410
- Likes
- 155
- Points
- 160
- Age
- 36

Ziltan
JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2011



Nnlipo umeme umekatika nikawa nimeenda sehemu wanapotumia nishati mbadala,
palikuwa na makumi ya watu wakifuatilia taarifa ya habari,
baada ya hbr za kitaifa bila ziara ya katibu mkuu cdm kuoneshwa karibia wote tuliondoka huku tukilaan kitendo cha taarifa hiyo mhimu kwa taifa kutooneshwa,
baadala ake zinaoneshwa za kujisifia tu, mtoto wa mengi kuoneshwa akiimsifia babaake,
+ wafujaji wa pesa za wavuja jasho wa tz wakijisifia hadharani namna wanavyofuja pesa zetu, baada ya kuvimbewa.
Imetuuma sana.
Mola ibariki CDM ,ibariki Tanzania
palikuwa na makumi ya watu wakifuatilia taarifa ya habari,
baada ya hbr za kitaifa bila ziara ya katibu mkuu cdm kuoneshwa karibia wote tuliondoka huku tukilaan kitendo cha taarifa hiyo mhimu kwa taifa kutooneshwa,
baadala ake zinaoneshwa za kujisifia tu, mtoto wa mengi kuoneshwa akiimsifia babaake,
+ wafujaji wa pesa za wavuja jasho wa tz wakijisifia hadharani namna wanavyofuja pesa zetu, baada ya kuvimbewa.
Imetuuma sana.
Mola ibariki CDM ,ibariki Tanzania