ITV na Wosia wa Baba wa Taifa

ITV na Wosia wa Baba wa Taifa

Nimeona na nimeogopa sana ! Aliyosema nyerere wakati ule yanatokea leo ! Hakika Nyerere bado anaishi , Sijui kama ITV haitafungiwa kesho .
Kwani ITV ndio wamesema? Si ni wosia wa baba yetu wa taifa tunayempenda na kumheshimu sana? Si tunajitahidi kumuenzi kwa yale mema aliyotenda na kutuasa? Hili ni mojawapo, na ni la msingi hasa. Hongereni ITV kutuletea wosia huu wa baba.
 
Kwahiyo unajaribu kusemaje?
Heshima kwa JKN kwangu mimi ni visionary wa kiwango cha kimataifa. Lakini kwa kila mtu anayeishi duniani, kuna upande mzuri na mbaya. Huyo mtu niliyemjibu ameandika maneno fulani, mimi nimechangia mawazo yangu.
 
"KUKUBALI KUFANYWA VIKARAGOSI VYA VIONGOZI NI DALILI YA WOGA, SI DALILI YA HESHIMA; NA WOGA NA HESHIMA NI VITU VIWILI MBALI MBALI.
MAADILI MEMA YANATUTAKA TUWAHESHIMU VIONGOZI WETU, MA DHATI WANATIMIZA WAJIBU WAO.
MAADILI MEMA HAYATUDAI TUWAOGOPE VIONGOZI WETU. NA VIONGOZI MAKINI HUPENDA KUPATA HESHIMA YA WANANCHI WENZAO, LAKINI HAWAPENDI KUOGOPA.
KUOGOPWA NI SIFA NA ADA YA MADIKTETA, VIONGOZI HALISI HAWAPENDI KUSHIRIKI.
KUJENGA MAZOEA YA KATIE VIONGOZI HATA KATIKA MAMBO HARAMU NI DALILI YA WOGA, NI KUKARIBISHA UDIKITETA". Pg. 65
Uongozi wetu na Hatma ya Tanzania.
Mwl. J. K Nyerere
Kwenye toleo hili nukuu hiyo inapatikana ukurasa wa 71. Mwenye nafasi ajisomee
 
Heshima kwa JKN kwangu mimi ni visionary wa kiwango cha kimataifa. Lakini kwa kila mtu anayeishi duniani, kuna upande mzuri na mbaya. Huyo mtu niliyemjibu ameandika maneno fulani, mimi nimechangia mawazo yangu.
Si ndio uyaseme hayo mawazo yako kwa kumbukumbu zaidi!Wengine sisi huwa tunafukunyua nini mtu amesema leo na kesho baada ya heading kubadilika ila content ileile unakuta kabadilika kabisaa!
"Ulichojaribu kukiri ni kuwa hata Nyerere alikuwa Dikteta kama Magufuli so si mtu sahihi kutumia qoute zake kukemea udikteta",
Basi sawa
 
.
Siku hizi Lowasa ni share holder ITV. Sishangai
Unawazimu siyobure! Lowasa ndiye aliyemwambia mwl atoe hotuba ile iliyorushwa ITV! Lowasa ndo msambazaji wa hotuba za mwl ambazo zilizuiliwa kuoneshwa hadharani sasa kwasababu anamahusiano na ITV amehonga ili hotuba ile ioneshwe!!! Hivi ni kweli uwezo wako wa kufikiri ni huu tu!!! ipo shida utakuwa ulizaliwa kipindi cha njaa!!!!!
 
Unawazimu siyobure! Lowasa ndiye aliyemwambia mwl atoe hotuba ile iliyorushwa ITV! Lowasa ndo msambazaji wa hotuba za mwl ambazo zilizuiliwa kuoneshwa hadharani sasa kwasababu anamahusiano na ITV amehonga ili hotuba ile ioneshwe!!! Hivi ni kweli uwezo wako wa kufikiri ni huu tu!!! ipo shida utakuwa ulizaliwa kipindi cha njaa!!!!!
.
Acha jazba.
Pointi yangu ni rahisi: Mmiliki wa chombo cha habari anao uamuzi kuhusu nini kirushwe, lini na kwa nini.
Hata hili hulioni?
 
Si ndio uyaseme hayo mawazo yako kwa kumbukumbu zaidi!Wengine sisi huwa tunafukunyua nini mtu amesema leo na kesho baada ya heading kubadilika ila content ileile unakuta kabadilika kabisaa!
"Ulichojaribu kukiri ni kuwa hata Nyerere alikuwa Dikteta kama Magufuli so si mtu sahihi kutumia qoute zake kukemea udikteta",
Basi sawa
Hakuna kiongozi mwasisi wa bara hili ambaye katika uongozi wake hakuwahi kuonyesha chembe chembe za udikteta. Unapoongoza mamilioni ya watu ambao robo tatu yake hawana elimu kubwa kama uhalisi wa uongozi wa JKN ulivyokuwa, siku zote ni lazima uwe na aina fulani ya ubabe. Ni lazima CIF aheshimiwe, amiri jeshi mkuu asiyeheshimika, asiyeweza kusema NO na kila mtu akaheshimu kauli, huyo ni CIF wa kwenye sinema na sio kwenye maisha yenyewe. JKN alikuwa akishuka pale airport anamuuliza mkuu wa mkoa wa Dar mzee songambele (sidhani kama yu hai), kwamba "lipo"?, hapo akimaanisha sembe ipo kwa watu wa Dar?. JKN alimfikiria mtu wa chini kabisa, JPM anamfikiria mtu wa chini kabisa. Na kama unakuwa tayari kuwa dikteta kwa faida ya watu wa chini kutonyanyasika kimaisha, basi nina uhakika hata huko mbinguni wale malaika na manabii wanaokubali udikteta wa aina hiyo.
 
.
Acha jazba.
Pointi yangu ni rahisi: Mmiliki wa chombo cha habari anao uamuzi kuhusu nini kirushwe, lini na kwa nini.
Hata hili hulioni?
Unamanisha kwamba hotuba ile ikosawa lakini iltakiwa irushwe mwezi wa 12 lakini Lowasa amehamasisha ikarushwa wa 8. Fikiri vizuri! kila funzo lolote hutolewa kutokana na mapungufu yaliyoko katika jamii! kwa hiyo ITV kulirusha wakati huu ni halali kabisa! Wewe Lowasa kahusikaje katika hilo au ndo mana walipigwa faini majuzi!! bado hujanishawihsi!
 
Kuna sehemu nimeona list ya waafrika ambao kamwe dunia haitowasahau. sijaona jina la Mwl. Nyerere huyu aliyeandika anaijua vizuri kweli history?

The Unforgettable!! Top 10 Black Men The World Can’t Afford To Forget In a Hurry!!!

78
SHARES

AUGUST 15, 2016 0
Worlds-unforgettable-black-men2
In the course of history, the world has witnessed the prowess of a number of black men. These are the world’s unforgettable black men:

1. Martin Luther King:

Rev. King was the son of a church minister who in his later life fought racism, employing civil disobedience, a technique popularized by Mahatma Gandhi, another world-renowned revolutionary in the 20th century.

His famous “I Have A Dream” speech is one of the most powerful declarations with striking future significance as Obama assumed the presidency of the United States.

Martin Luther King Jr

Martin Luther was a minister, humanitarian and civil right activist who was assassinated for his persistence in fighting for the freedom of the black community in the United States.

Rev. King was born on 15th January, 1929 and brutally murdered on April 4, 1968, when he was shot on the balcony of a hotel in Memphis, Tennessee. For his tenacity, King is one of the top world’s unforgettable black men.

2. Mandela:

Madiba, as fondly called is a global figure whose name speaks for itself. He is yet another top name in the list of world’s unforgettable black men.

Regardless of the penalty, he fought for the freedom of his people. 27 years imprisonment is no joke but with Madiba it was all worth it.

Mandela1

He is that kind of revolutionary that the prison bars could not subdue. Madiba was great, compassionate, resilient and incredibly influential. Without the sword and the gun, he did it, obtained freedom for South Africans. In life and in death, he remains their national father.

Madiba is a global figure whose name speaks for itself; the typical human being with a human heart. Around the world he is remembered for peace, unity, forgiveness and progress. He is an international epitome of resilience and strength.

3. Barrack Obama:

Barrack Hussein Obama II is the 44th President of the United States. He was born on 4th August in Hawai, to a Kenyan Father and an American mother.

More than any other thing significantly attached to this black African man is the fact that he is the first black man ever in history to be a United States President. He is not just an African American but a Kenyan by decent.

20 states

Before winning the US presidency, Barrack served 3 tenures as the Senatorial representative of 13th District in the Illinois.

He ran against the now democratic presidential candidate. Hillary Clinton and won by a substantial margin. Obama will complete his second tenure in office by November, 2016.

Obama was named the Nobel Peace Prize laureate in 2009.

4. Michael Jackson:

Michael Jackson has been a household name for longer time than remembered. The musical icon who started off as a charming and talented child star is popularly known as the king of pop.

michael-jackson

The American singer, songwriter, record producer, dancer, and actor lived a controversial life, however his talents in entertainment is hard to ignore. Every professional dancer at this time holds MJ on a pedestal.

As a musical artiste, he is recorded to have sold over 400 million records on a global rating. Michael Jackson died on June 25, 2009.

5. Chinua Achebe:

Albert Chinua Achebe is one of the greatest African writers of all times. Known for clarity and simplicity of expressions, the patriotic Nigerian novelist, poet and educationist constantly depicts the African society in his literary works – using African characters, plot and experiences.

He never failed to embellish his works with ‘well translated’ African proverbs which leaves a vivid picture in the reader’s imagination; he told African Stories in the African way.

chinua Albert Achebe

Chinua Achebe authored the largely recognized Things Fall Apart which sold over 12 million copies. The book has been translated into 50 other languages.

Till the time of his death in March, 2013, he was a professor at the David and Marianna Fisher University as well as the Professor of Africana Studies at Brown University,Providence, Rhode Island.

6. Muhammad Ali:

One thing that is for sure about Muhammad Ali’s personality is his firm stance in what he believed in. He didn’t just tag along or sheepishly join the popular bandwagon. He gave purpose to his pursuits especially as an activist.

ALSO READ Ghanaian Prophet – ”If i were to be in South Africa, Mandela wouldn’t have died”
Ali dominated boxing all through the 1960’s and 1970’s, taking the heavyweight title three times, that long career in the ring however took a drastic toll on his physical health. He was so well loved that in 2005, George W. Bush bestowed upon him the Presidential Medal of Freedom.



Muhammad-Ali

He was regarded as the most influential sportsman of the century. It had however not always been that way. When he first entered the world of boxing in 1960 named Cassius Clay, he was considered an unbearable loud mouth.

In his older days, he assumed the role of an international religious leader than a retired athlete.



7. Kofi Atta Annan:

Kofi Annan is the 2nd African and 7th Secretary General for the United Nations. The highly respected African personality hails from Kumasi, Ghana.

The 78-year old in his time as UN Sec. Gen made tremendous impact in fostering resolutions to conflicting regions of the world. His genuine resilience in that area made him outstanding.

Kofi-Annan

Till date the reputable personality is still making contributions to governance as well as the economic improvement of the African continent.

Under the Kofi Annan Foundation and beyond, the former Sec. Gen has been involved in several humanitarian causes. This trait earned him the Kora All Africa Music Lifetime Achievement Award in 2001. That same year he was also awarded the 2001 Nobel Peace Prize.

8. Usain Bolt:

Meet The World’s fastest man and the highest paid athlete ever in track and field. Usain is a Jamaican sprinter who has sustained the title of the fastest man ever timed on the tracks.

What is most significant about the super-runner is that he makes a world record and breaks it in the next event. He is the first man to hold both the 100m and 200m world records.

Usain-Bolt

Usain who runs 5 times in a week is one of the most anticipated athletes to perform at the Rio 2016 Olympics.

The sprinter has been awarded the IAAF World Athlete of the Year, Track & Field Athlete of the Year, and a 3-time Laureus World Sportsman of the Year.

Bolt says he intends to retire from athletics after the 2017 World Championships.

9. Haile Selassie:

Haile is an Ethiopian military commander; the 225th and last Ethiopian Emperor. He was born in July 23, 1892, and crowned king in 1930, believed to be a descendant of King Menelik I.

His vision was to re-brand the Ethiopian education and socio-economic system. He is one of the African war lords who vehemently resisted imperialism in Africa.

Ethiopia

Haile fled in exile during the second World war, after commanding the army that resisted the Italian invasion. From his being reinstated as king of Ethiopia, he ruled for years till the 1974 when he got overthrown by the Marxist dictator Mengistu Haile Mariam.

The coup was a result of the hopeless situation of famine and unemployment; his opposition capitalized on these circumstances to topple his government. He died in 1975.

The Emperor made a historic and significant visit to Jamaica in the 1960’s. His coming was so revered and viewed as the fulfillment to the prediction of Marcus Garvey that “the day of deliverance of the black race would dawn when a black king was crowned in Africa.”

Rastafarians saw him as the messiah. They kept touching his plane, and screaming out loud, “God is here!” Haile is reported to have said,

“Do not worship me, I am not God, I am only man. I worship Jesus Christ.”

10. Frederick Douglass:

Frederick-Douglass

Frederick Augustus Washington Bailey was an African-American social reformer, abolitionist and statesman.

The orator and writer who escaped slavery, led the abolitionist movement. As such, his write ups and speeches were all geared towards the drive to emancipation.

He was an undiluted intellectual whose efforts to attain racial freedom in the United States will not be forgotten in a hurry. Douglas died of a heart attack on February
hapa na pale wamentaja Nyerere katika nafasi ya 5 katika "Top Ten Greatest African Leaders of All Time". upende usipende Nyerere NI, (siyo ALIKUWA) great leader.
 
Hakuna kiongozi mwasisi wa bara hili ambaye katika uongozi wake hakuwahi kuonyesha chembe chembe za udikteta. Unapoongoza mamilioni ya watu ambao robo tatu yake hawana elimu kubwa kama uhalisi wa uongozi wa JKN ulivyokuwa, siku zote ni lazima uwe na aina fulani ya ubabe. Ni lazima CIF aheshimiwe, amiri jeshi mkuu asiyeheshimika, asiyeweza kusema NO na kila mtu akaheshimu kauli, huyo ni CIF wa kwenye sinema na sio kwenye maisha yenyewe. JKN alikuwa akishuka pale airport anamuuliza mkuu wa mkoa wa Dar mzee songambele (sidhani kama yu hai), kwamba "lipo"?, hapo akimaanisha sembe ipo kwa watu wa Dar?. JKN alimfikiria mtu wa chini kabisa, JPM anamfikiria mtu wa chini kabisa. Na kama unakuwa tayari kuwa dikteta kwa faida ya watu wa chini kutonyanyasika kimaisha, basi nina uhakika hata huko mbinguni wale malaika na manabii wanaokubali udikteta wa aina hiyo.
Kipindi cha Nyerere nchi ilikuwa imetoka chini ya utawala wa Mkoloni!Hiyo demokrasia bado tafsiri yake sahihi ilikuwa inaendelea kutolewa!Kipindi hicho kilikuwa kipindi cha mpito na ilibidi twende hivyo!Baada ya hapo ikawekwa misingi ya demokrasia,Nyerere aliihubiri sana!Akaona kwa katiba iliyokuwepo mamlaka ya Rais ni makubwa sana na kama akitokea asiye mweledi anaweza fanya mambo ya ajabu!
Leo hii tunaye kiongozi ambaye ni zao la demokrasia lakini anataka kutawala kidikteta!Kiongozi ambaye aliapa kwa imani yake mbele ya kadamnasi kuwa atailinda na kuiheshimu katiba!Leo hii anavunja katiba inayotambua demokrasia halafu unasema Malaika mbinguni wanamfurahia!Hofu ya Mungu iko wapi wakati unavunja kiapo ulichoapa huku ukiinua na mkono juu?
Hapana,kiongozi yeyote anayevunja katiba si wakumtetea!kuna namna bora ya kuwasaidia wanyonge kuliko kutumia mabavu!Mabavu ambayo pengine unaweza ukawa unamdulumu mtu haki yake kwa kisingizio eti wanyonge!
 
Kipindi cha Nyerere nchi ilikuwa imetoka chini ya utawala wa Mkoloni!Hiyo demokrasia bado tafsiri yake sahihi ilikuwa inaendelea kutolewa!Kipindi hicho kilikuwa kipindi cha mpito na ilibidi twende hivyo!Baada ya hapo ikawekwa misingi ya demokrasia,Nyerere aliihubiri sana!Akaona kwa katiba iliyokuwepo mamlaka ya Rais ni makubwa sana na kama akitokea asiye mweledi anaweza fanya mambo ya ajabu!
Leo hii tunaye kiongozi ambaye ni zao la demokrasia lakini anataka kutawala kidikteta!Kiongozi ambaye aliapa kwa imani yake mbele ya kadamnasi kuwa atailinda na kuiheshimu katiba!Leo hii anavunja katiba inayotambua demokrasia halafu unasema Malaika mbinguni wanamfurahia!Hofu ya Mungu iko wapi wakati unavunja kiapo ulichoapa huku ukiinua na mkono juu?
Hapana,kiongozi yeyote anayevunja katiba si wakumtetea!kuna namna bora ya kuwasaidia wanyonge kuliko kutumia mabavu!Mabavu ambayo pengine unaweza ukawa unamdulumu mtu haki yake kwa kisingizio eti wanyonge!
Ndugu yangu hakuna nchi inayofanya siasa za kienyeji kama Tanzania. Kila nchi inakuwa na mtu mwenye sauti ya mwisho, sauti yenye kuhitajika kuheshimiwa na kila mtu. Ni lazima tuondokane na "anarchy", ni lazima tuondokane na uhuru uliopitiliza ambao unashindwa kufanana na wajibu. Hakuna nchi duniani ambayo rais anatoa maagizo halafu anatokea mwanasiasa mwingine eti na yeye anatoa maagizo, hakuna kitu kama hicho. JK alivumilia mengi kwa sababu alikuwa ni mtu mwenye uwezo wa kupuuzia, matokeo yake wanasiasa wa upinzani wakafikiri kwa anarchy ni haki yao. Hakuna suala la udikteta, kila mtu anakumbushwa umuhimu wa kufanya kazi ya halali ili mkono uende kinywani.
Ndio maana DJ akaambiwa kama anataka kufanya siasa aende jimboni kwake, asilete siasa za anarchy kwa kisingizio cha demokrasia.
Hao wanaotufundisha maana ya demokrasia wanaheshimu ule uwepo wa mifumo ya uongozi ambapo mwenye mamlaka anaheshimiwa. Sisi ambao bado tunaendelea kujifunza demokrasia eti tunataka kutengeneza aina yetu ya mfumo wa maisha wa kisiasa ambao haupo sehemu nyingine ile duniani!!.
 
Ndugu yangu hakuna nchi inayofanya siasa za kienyeji kama Tanzania. Kila nchi inakuwa na mtu mwenye sauti ya mwisho, sauti yenye kuhitajika kuheshimiwa na kila mtu. Ni lazima tuondokane na "anarchy", ni lazima tuondokane na uhuru uliopitiliza ambao unashindwa kufanana na wajibu. Hakuna nchi duniani ambayo rais anatoa maagizo halafu anatokea mwanasiasa mwingine eti na yeye anatoa maagizo, hakuna kitu kama hicho. JK alivumilia mengi kwa sababu alikuwa ni mtu mwenye uwezo wa kupuuzia, matokeo yake wanasiasa wa upinzani wakafikiri kwa anarchy ni haki yao. Hakuna suala la udikteta, kila mtu anakumbushwa umuhimu wa kufanya kazi ya halali ili mkono uende kinywani.
Ndio maana DJ akaambiwa kama anataka kufanya siasa aende jimboni kwake, asilete siasa za anarchy kwa kisingizio cha demokrasia.
Hao wanaotufundisha maana ya demokrasia wanaheshimu ule uwepo wa mifumo ya uongozi ambapo mwenye mamlaka anaheshimiwa. Sisi ambao bado tunaendelea kujifunza demokrasia eti tunataka kutengeneza aina yetu ya mfumo wa maisha wa kisiasa ambao haupo sehemu nyingine ile duniani!!.
Kwamba Rais akiamua kuanzia leo marufuku ofisi za vyama kufunguliwa basi ndio iwe kauli ya mwisho na utekelezaji ufanyike!Kwako wewe lolote akiamua Rais basi ni utekelezaji tu!Ndio maana taifa linaenda kimwendokasi!Rais alisema gawa sukari yote itakayokatwa,TRA wakamwambia hapana,sukari iko kihalali na imelipiwa kodi!Ukifanya hayo utalazimika kuwalipa fidia,yako wapi,sukari ilikagawiwa?Ndio ujifunze kuwa sio kila tamko la Rais linatekelezeka!Ndio maana anatakiwa ashauriwe ili kuepuka kuingiza nchi kwenye hasara!Wewe unasema Mbowe akafanye mkutano Hai,katiba ibara ya 18 na 21 inampa haki ya kukusanyika kokote ndani ya mipaka ya nchi!
Comment zako za awali walau zilikuwa na ujumbe unaopimika,kwa mchango huu umepiga porojo tu!
 
Kwamba Rais akiamua kuanzia leo marufuku ofisi za vyama kufunguliwa basi ndio iwe kauli ya mwisho na utekelezaji ufanyike!Kwako wewe lolote akiamua Rais basi ni utekelezaji tu!Ndio maana taifa linaenda kimwendokasi!Rais alisema gawa sukari yote itakayokatwa,TRA wakamwambia hapana,sukari iko kihalali na imelipiwa kodi!Ukifanya hayo utalazimika kuwalipa fidia,yako wapi,sukari ilikagawiwa?Ndio ujifunze kuwa sio kila tamko la Rais linatekelezeka!Ndio maana anatakiwa ashauriwe ili kuepuka kuingiza nchi kwenye hasara!Wewe unasema Mbowe akafanye mkutano Hai,katiba ibara ya 18 na 21 inampa haki ya kukusanyika kokote ndani ya mipaka ya nchi!
Comment zako za awali walau zilikuwa na ujumbe unaopimika,kwa mchango huu umepiga porojo tu!
Kaka inafika wakati maishani lazima ukubaliane na mabadiliko, iwe unayapenda au huyapendi. Ibara za katiba kumpa uhuru ni suala moja na yeye kupoteza muda wa watu wa kufanya kazi kwa sababu ya kumsikiliza yeye jukwaani ni suala jingine. Unapozama kwenye masuala ya kisiasa, usisahau umuhimu wa kuwahamasisha kufanya kazi wananchi hao hao wanaokupigia kura. Hayo masuala ya sukari ni vita kubwa kuliko unavyoyasikia wewe kwenye vyombo vya habari, ndio maana waziri mkuu kwa kushirikiana na wazalishaji kama mtibwa wanapanga kuongeza uzalishaji.
Mwambie DJ na wengine washughulike na umasikini wa waliowapigia kura na sio kupenda popularity kupita kiasi. Inafikia wakati Tundu Lissu anasema wazi bungeni "nasikia umeme umekatwa huko nje", yeye anatatua shida za wananchi au anapenda kutazamwa kupitia kwenye runinga?. JK aliwapa uhuru mkubwa mkashindwa kuwa na heshima.
Mnapodai haki za kidemokrasia, mkumbuke na kutimiza wajibu, pia mkumbuke kuwa yale yaliyowapa ubunge mwaka jana wakati wa uchaguzi, huu ndio muda wa kuyatimiza.
Waonye wabunge wa upinzani, hizi kura walizopata mwaka jana ikifika 2020 wanaweza kupata nusu yake kama watajisahau na kubakia kuwa wanaharakati badala ya kufanya kama EL alivyowashauri, juu ya kubadilisha tamaduni za kisiasa.
 
Kaka inafika wakati maishani lazima ukubaliane na mabadiliko, iwe unayapenda au huyapendi. Ibara za katiba kumpa uhuru ni suala moja na yeye kupoteza muda wa watu wa kufanya kazi kwa sababu ya kumsikiliza yeye jukwaani ni suala jingine. Unapozama kwenye masuala ya kisiasa, usisahau umuhimu wa kuwahamasisha kufanya kazi wananchi hao hao wanaokupigia kura. Hayo masuala ya sukari ni vita kubwa kuliko unavyoyasikia wewe kwenye vyombo vya habari, ndio maana waziri mkuu kwa kushirikiana na wazalishaji kama mtibwa wanapanga kuongeza uzalishaji.
Mwambie DJ na wengine washughulike na umasikini wa waliowapigia kura na sio kupenda popularity kupita kiasi. Inafikia wakati Tundu Lissu anasema wazi bungeni "nasikia umeme umekatwa huko nje", yeye anatatua shida za wananchi au anapenda kutazamwa kupitia kwenye runinga?. JK aliwapa uhuru mkubwa mkashindwa kuwa na heshima.
Mnapodai haki za kidemokrasia, mkumbuke na kutimiza wajibu, pia mkumbuke kuwa yale yaliyowapa ubunge mwaka jana wakati wa uchaguzi, huu ndio muda wa kuyatimiza.
Waonye wabunge wa upinzani, hizi kura walizopata mwaka jana ikifika 2020 wanaweza kupata nusu yake kama watajisahau na kubakia kuwa wanaharakati badala ya kufanya kama EL alivyowashauri, juu ya kubadilisha tamaduni za kisiasa.
Huoni Rais anavyozunguka nchi nzima akipoteza muda wa watu kufanya kazi kwenda kumsikiliza!Shule huwa zinafungwa kumpisha Ngosha!Hayo anayoyasema Jukwaani full comedy.,anawaambia watu wafyatue tu watoto!Shame
Kama walifanya siasa 2010-2015 wakati wa JK,nilitegemea wapungue!Wananchi wamewaelewa zaidi na wakaongezeka zaidi!Magufuli alikurupuka suala la sukari na maumivu tunayo mpaka leo!Asikilize washauri wake!
Katiba ndio kila kitu,hata Rais yuko hapo kwa mujibu wa katiba!Hata majeshi yanamheshimu sababu ya katiba!Anavyoanz kuminya haki za RAIA kikatiba anajipalia kaa!Siku zote watu wa hivi hawaridhiki!Hata Nkurunzinza alianza hivi!
 
Huoni Rais anavyozunguka nchi nzima akipoteza muda wa watu kufanya kazi kwenda kumsikiliza!Shule huwa zinafungwa kumpisha Ngosha!Hayo anayoyasema Jukwaani full comedy.,anawaambia watu wafyatue tu watoto!Shame
Kama walifanya siasa 2010-2015 wakati wa JK,nilitegemea wapungue!Wananchi wamewaelewa zaidi na wakaongezeka zaidi!Magufuli alikurupuka suala la sukari na maumivu tunayo mpaka leo!Asikilize washauri wake!
Katiba ndio kila kitu,hata Rais yuko hapo kwa mujibu wa katiba!Hata majeshi yanamheshimu sababu ya katiba!Anavyoanz kuminya haki za RAIA kikatiba anajipalia kaa!Siku zote watu wa hivi hawaridhiki!Hata Nkurunzinza alianza hivi!
Hakuna haki ya raia iliyominywa zaidi ya watu kuhimizwa kufanya kazi. Mind you yeye ni mbunge wa Tanzania nzima, tofauti na kina DJ na wengine wote, anayo haki ya kwenda popote na kufanya lolote. Anayo haki ya kuingia msikitini na akahutubia, anayo haki ya kusali katika makanisa ya madhehebu yoyote yule na hakuna atakayemfanya lolote. JK alijishusha sana kiasi ambacho taasisi ta urais ikaonekana ni ya kawaida yenye kustahili kuvunjiwa heshima. Hakuna anayeminywa, ni kukumbushana maana ya heshima na nidhamu kwenye nchi. Huwezi ukaishi maisha yasiyokuwa na nidhamu, maisha yaliyozoea short cut halafu ukatengeneza taifa lenye kustahili kuheshimiwa. Lazima tufike mahali tuzoee maisha mapya. Yale maisha ya mwaka mzima watu wamesimama wanamsikiliza mwanasiasa fulani, ambaye hana heshima wala utii kwa mamlaka, hayawezi kuendelea kuwepo. Kisaikolojia tuendelee kukabiliana na mabadiliko ya kweli, na sio yake ya kuzungusha mikono.
 
Back
Top Bottom