Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 11,351
- 13,882
Nimeipenda
Nimependa avatar yakoWALIKUWA WAMEMLENGA DIKTETA UCHWARA JOHN POMBE MAGUFULI ( mzee wa kufyatua watoto/ baba jesca/ mikurupoko/ katilii/ mkojorea katiba)
UchwaraKwani tatizo ni nini?
Uliza Nyerere alikuwa anamlenga nani, ITV ni njia tu ya kukupa habari ya NyerereITV walikuwa wanamlenga nani?
Chonde naomba tuache mambo ya kiimaniKama kayashinda mauti yupo wapi Huyo yesu,si kafa au
WALIKUWA WAMEMLENGA DIKTETA UCHWARA JOHN POMBE MAGUFULI ( mzee wa kufyatua watoto/ baba jesca/ mikurupoko/ katilii/ mkojorea katiba)
Waifungie kwa misingi ipi??Nimeona na nimeogopa sana ! Aliyosema nyerere wakati ule yanatokea leo ! Hakika Nyerere bado anaishi , Sijui kama ITV haitafungiwa kesho .
Huyu labda atakuwa anaishi nje ya nchi.
ZIDUMU FIKRA SAHIHI"KUKUBALI KUFANYWA VIKARAGOSI VYA VIONGOZI NI DALILI YA WOGA, SI DALILI YA HESHIMA; NA WOGA NA HESHIMA NI VITU VIWILI MBALI MBALI.
MAADILI MEMA YANATUTAKA TUWAHESHIMU VIONGOZI WETU, MA DHATI WANATIMIZA WAJIBU WAO.
MAADILI MEMA HAYATUDAI TUWAOGOPE VIONGOZI WETU. NA VIONGOZI MAKINI HUPENDA KUPATA HESHIMA YA WANANCHI WENZAO, LAKINI HAWAPENDI KUOGOPA.
KUOGOPWA NI SIFA NA ADA YA MADIKTETA, VIONGOZI HALISI HAWAPENDI KUSHIRIKI.
KUJENGA MAZOEA YA KATIE VIONGOZI HATA KATIKA MAMBO HARAMU NI DALILI YA WOGA, NI KUKARIBISHA UDIKITETA". Pg. 65
Uongozi wetu na Hatma ya Tanzania.
Mwl. J. K Nyerere
Mwalimu alikuwa mwanadamu na alipinga sana tabia ya wa kujitukuza au kutukuza mwanadamu mwingi. Mwalimu aliamini katika usawa wa haki kwa kila mtu.
Inawezekana tukaangalia aliyoyafanya wakati wake na katika muktadha wa wakati ule tukamwuona kuwa alikuwa mbaya sana kwa viwango vya sasa. Hata hivyo mengi ya yale aliyosema kama wosia wake kwa watu wa taifa aliloasisi yanaashiria kuwa anakiri kuwa kuna nyakati aliwahi kukosea katika maamuzi na inawezekana aliwaumiza watu.
Wapendwa, Mwalimu, hata hivyo alifanya na kusema mengi ya kutufundisha na kutuadibisha kama watanzania. Alitutaka tuishi kwa umoja na upendo; hakuwagawa watu katika makundi ya kikabila, kiitikadi au kiimani.
Baada ya Mwalimu hajatokea mwingine wa kufanana naye kwa namna yeyote kimaadili. Na kama tutaendelea kupalilia nidhamu ya woga kwa kuwafanya watu wasiwe huru kufunguka tutakuwa tunastawisha hasira ndani ya watanzania na iko siku italipuka.
Mwalimu aenziwe kwa kwa kuhakikisha upendo wa kidugu unadumishwa na huo hauwezi kudumishwa matamko ya vitisho na kejeli kwa demokrasia, bali kwa mifumo imara ya kikatiba itakayohakikisha UHURU na UMOJA wakweli.
Zidumu fikra za MWALIMU!
MUNGU Ibariki Tanzania!

MboweITV walikuwa wanamlenga nani?
vipi ndio mumeo wa sasa?Mbowe
Harafu mbona aliacha katiba ya mwaka 77 wakati aliruhusu vyama vingi 92..... aliacha NEC inayo chaguliwa na captain wa timu pinzani, katiba ya chama kimoja bila kufanya mabadiliko makubwa.... kwa haya huwa simwelewi baba wa Taifa... japo mengi nampa big up, JKN alikuwa anaona mbali sana....Hivi aliyemuweka jela ya nyumbani marehemu Jumbe ni nani? Kutaka serikali 3 ni kosa? Na udikteta ni nini?
Taratibu mkuu milioni 7 nyingi!!WALIKUWA WAMEMLENGA DIKTETA UCHWARA JOHN POMBE MAGUFULI ( mzee wa kufyatua watoto/ baba jesca/ mikurupoko/ katilii/ mkojorea katiba)
We jamaa kweli hazimo yani huoni tatizo kabisa hapo?? Nna mashaka na uelewa wako!!Kwani tatizo ni nini?
HATA SHETANI ALIPOENDA KUMJARIBU BWANA YESU ALIFUNGASHA SHEHENA YA VIFUNGU VYA NENO LA MUNGU!WALIKUWA WAMEMLENGA DIKTETA UCHWARA JOHN POMBE MAGUFULI ( mzee wa kufyatua watoto/ baba jesca/ mikurupoko/ katilii/ mkojorea katiba)