sijaona fact katika hoja zenu hapa..lile ni kama swali linaloulizwa kwa m2 yeyote mtanzania ajibu kwa maoni yake,na hata kama hujaulizwa wewe unapaswa kujiuliza na kujijibu bs jibu upatalo ndilo wanalotaka uwape ijapo ngumu kuwafikia wote.pole kwa kutatizika
Options ni NDIO/HAPANA/SIJUI(N/H/S). Najua nyie ndio mmezoea jibu mitihani iliyokosewa ,kwa vile unajua hilo swali litoka mwaka fulani basi unamsaidia kujibu mtunvi feki wa kibongo.But what if swali limekosea ktk structure na logic in asuch a way hakuna jibu.Na hapa simaanishi yale mswali ya maltiple choic yenye ALL OF THE ABOVE,NONE OF THE ABOVE.
Kuna maswali mengi sana hayapo proper hata university za kibongo na smart kids wanaoamini kile wanachokijua wnashindwa jibu, na hawawezi jibu uongo ili wapate maxi, mbaya hakuna wa kumweleza arekebishe kuanzia mwalimu hadi baraza.Kwani time haipo on his/her side na uelewa wa wasomi wabishi wa kibongo hasa wenye experience hauna tofauti na wabunge wa ccm wataleta madhara.
E.g Suppose upo safi ktk physics na unajisomea beyond the class wakati mwalimu anasubiri hadi baraza la mitihani lipitishe kitu kipaya na kuwatangazia.Wewe una hakina kuwa tayari kamati za wanasayansi zimepitisha kitu kipya na kimeshaanza ingia ktk real life na comsumer products zinafanya kazi halafu unakutana na swali la kipuuzi km hili:
How many states of matter are there?
1.30
2.1
3. 3
4.14
kwa haraka utaona mtunzi mzembe kaweka figure anazofikiri kuwa zitakupa maxi za chee km unakumbuka alichokufundisha au common sense ya wabongo inavyowatuma.na hapa atakuwa anamaanisha 3.Yaani gaseous,solid, na liquid.
kwa haraka unajua kuna Plasma, Neutrons, etc,lakini hat akam hukumbuki nyingine bado hizo figure zote si sahihi, unajaribu rudi uone hata km kaweka neno Common, popular au equivalent yake ktk swali, unakuja halipo na km lingekuwepo bado plasma ni popular ktk jamii haswa ktk dispaly screen, ktk nuclear plants, na neutrons ni popular ka stronomy...unapata shida kwani tayari upo mbele ya elimu ya kibongo... una kwama na unahisi kuwa somewhere watawaambia kuwa kuna swali lina makosa yanatajwa mengine.Then unapata taabu ..unahisi kuwa kwa ujinga wa walimu wetu wanakulazimisha uchague 3.
Hapa ndipo utaona kwanini wabongo ni taabu tunamjibia hadi Mungu kwa assumptions,kwanini smart kids wanakuwa bored na elimu yetu.Unajikuta unahitaji ama umfurahishe mwalimu kwa kumpa jibu alipendalo na baadaya kujikuta umefikia hatua ya kufanya kila kitu km yeyote apendavyo na si km fikra na mawazo mapya yako yanavyoweza chambua na kubuni.
Kwa hiyo ndugu yangu bongo kuna vingi vinaboa: kuanzia waandishi km akina Kibonde na Nkamia, na hao wa kipimajoto, ktk majibu ya viongozi za dini,, ktk Bunge,vitabu vyetu, project zetu zinazonadiwa sana lakin hazitoki nje ya incubators/nursery ktk governement, ktk familia ktk jamii forum pia kuna posting za hivyo, na wanaopost wanaamini wapo sahihi sana kiasi ch akutukana wengine na kuomba ban.Sasa km unapata muda ktk TV zetu at any particular time unaweza ukashindwa pata TV ya kuangalia.
Unakuja show mawaziri wanawake wanaocheza style ya kikongo wana matumbo mabaya,na sehemu nyingine za mwili zipo nje na wanakata mauno kwa style ambayo hata kicheche anajua ilitakiwa iwe ya faragha, halfu kuna waziri anaonekana kuwa alihudhuria, then unaingia ktk taarabu, unakuta wamevaa ndio ila wamezisisha make-ups na wanacheza bila step, halafu wanajifagili apora mtu mme wake, ukirudi kwingine kuna Hemed kapewa jina la kikristu ktk movie na videm vya kibongo, vinashuka yai la kizaramo. huwezi tofautisha "lap" na "rap", "right " na "light" ,and the sort unapata taabu tena.Napat ashida kujua anamaanisha nini anaposema "Thats light" wakati anapesa kidole kwa maringo ktk chumba cha wageni ila upande wa kidole kuna taa, na masungumzo yanamaanisha "Thats Right".Na movie in kiswahili na kithungu.Na lengo lao ni kuuza hadi nje.assume mthungu hakuelewa masngumzo ktk kiswahili.