Ni mpumbavu tu ambaye ataendesha gari isiyo na breki baada ya kusimama, unarudi na gari isiyo na breki na kubeba nayo majeruhi....
Ndugu yangu ama wewe au huyo 'dereva' ndo hamjui ABC za udereva.
Hii story haiungi....fungua macho na akili zako wewe unayejiona dereva unayejua ABC.