ITV na CHADEMA

Sugu alikuwa abiria kwenye hii ajali ingawa yeye ndie mmiliki wa gari.

Dereva wake alijaribu kusimama kwenye zebra ili yule mtoto yule avuke barabara pale kwenye zebra lakini ndio ivyo tena breki zikafeli ajali ikatokea.

Hilo linaweza kumtokea mtu yeyote na ukumbuke gari ni kama mashine sometimes mashine inafeli kwasababu mbalimbali.
 
leta ushahidi kuwa sugu alikuwa abiria.sugu alikuwa peke yake ndio maana alikimbia,akaenda kumwita Driver
 
Hahahaha Angekuwa Mbunge wa Chama Cha Mapinduzi ITV ingeshikia bango kifo cha Yule mtoto tungekomaje
 
Hakuna sababu ya kuwalaumu ITV.. Nafikiri sugu kwa wadhifa alionao ndio ameibeba habari!

Ni ujinga tu unaweza kumfanya mjinga awalaumu ITV eti wana uchadema kisa wamewasilisha kunusurika kwa "mbunge" kabla ya kifo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…