AbuuMaryam
JF-Expert Member
- Dec 26, 2015
- 2,536
- 4,513
Unakuta taarifa zenu mnaripua ripua tu. Kwani ni lazima kutoa taarifa nyingi?
Hamuwezi kuchuja?
Taarifa ndogondogo mnaziandalia kipindi chake. ..
Habari zenu mpo juu juu yani mtasema mnakimbizwa. . .
Hebu badilikeni mmekaa kishamba kama TBC studio ni ile ile kila siku. .
Sijui huo USUPERBRAND ni wa wapi. mbona hata ushindani haupo tuwatoe kabisa. .
Ukienda StarTV ni habari za Mwanza na kanda ya ziwa tu.
Ukienda TBC na Channel 10 ni kuunga juhudi za serikali na kuabudu na kusifu.
Alafu ndio FTA hizo. Bora zingeonesha katuni tu tujue moja. ..
HAO WOTE ZBC kabadilika kawaacha mbali.
Ndio shida ya kuwashikilia wazee.
BORA EATV AISEE
.
Hamuwezi kuchuja?
Taarifa ndogondogo mnaziandalia kipindi chake. ..
Habari zenu mpo juu juu yani mtasema mnakimbizwa. . .
Hebu badilikeni mmekaa kishamba kama TBC studio ni ile ile kila siku. .
Sijui huo USUPERBRAND ni wa wapi. mbona hata ushindani haupo tuwatoe kabisa. .
Ukienda StarTV ni habari za Mwanza na kanda ya ziwa tu.
Ukienda TBC na Channel 10 ni kuunga juhudi za serikali na kuabudu na kusifu.
Alafu ndio FTA hizo. Bora zingeonesha katuni tu tujue moja. ..
HAO WOTE ZBC kabadilika kawaacha mbali.
Ndio shida ya kuwashikilia wazee.
BORA EATV AISEE
.