mi sijahuzunishwa,na ilo tukio bt nimehuzunishwa na aliyetangulia mbele ya haki.lakni,kama mimi ningekuwa mtoa mada ningeileta ktk logic hii;babake james,alikuwa nani mpaka,mamia, vigogo baadhi,makada wa nyinyiem hata waziri haudhulie lile tukio?nawapongeza viongoz wa parokia wa sehemu husika,wamemtuma katekista.ingawa ametema cheche!rip mareh.