sir.JAPHET
JF-Expert Member
- May 18, 2012
- 699
- 133
wanazuoni wamekusanyika kuzungumzia mafanikio na mitazamo yao kuhusu demokrasia ya vyama vingi baada ya miaka 20,, namuona mhe, john tendwa na mhe, nape nauye,,
anasema vyama pinzani vimejaa mchanga havija komaa:A S 465:
nape ansema bunge la siku hizi limejaa malumbano ya vyama zaidi kuliko wabunge kubeba hoja za maana zenye kuleta maendeleo kwa jamii,, na siasa zimehamia bungeni,, na anasema ufisadi haujainuliwa bungeni na wapinzani ,, vyama pinzani,, na kwamba ulikuwepo toka zamani,, na ufisadi ulikuwa ukiitwaa uhujum uchumi na mafisadi waliitwa wahujumu uchumi,, na vyama vimekosa ujasiri wa kusema kuwa sis ni wajamaa au ni mabepari,,