MAGARI7
JF-Expert Member
- Mar 5, 2016
- 2,401
- 1,308
Nasikiliza radio one hapa ndani ya Altezza yangu
na braza nae anatumia hio hioo.?!Ila wewe ni.m'Bishi sana.
Nasikiliza radio one hapa ndani ya Altezza yangu
na braza nae anatumia hio hioo.?!Utajuwaje kama ana gari?Umeulizwa?
Pamoja sana mkuu, hapo Bongo ni kwetu. .hakuna hofuKaribu sana kwenye danganyika yetu mkuu
Pamoja sanaPamoja sana mkuu, hapo Bongo ni kwetu. .hakuna hofu
Anaitwa Bahati AlexKuna mdada fulani hivi mrembo nimrmsahau jina
Itv wako vizuri tuItv mnatupa roho inapenda
Viva viva viva
We endelea kusubiri kuulizwaUmeulizwa?
Nasikiliza radio one hapa ndani ya Altezza yangu
Hayo magamba hayakosagi kila kipindi bila kumsahau yule kiongozi wa mchezo wa baonaona kuna magamba meng yanatetea ujinga
Nasikiliza radio one hapa kwenye trekta langu hapa
Mkuu upo tabora unakula asali?Mkuu,mtoa mada,samahani nimejaribu kukufata inbox,pasipo mafanikio!naomba kuuliza,uko tabora?kama ndio unakifahamu chuo cha ufugaji nyuki tabora?
Umesimama mkuu,wanapakia mpungaHuo mtambo unatembea au umesimama?
Sasa ukizidisha nawe utakuwa kama huyo unaye mlaumuKama ulileta mada humu iLife usikie kile upendacho tuu akheri ungemuita mkeo na wanao halafu mujadiliane badala ya kuendelea kuiharibia jina na kuidhalilisha Jamiiforums
Kuna jamaa anaiponda bajeti![]()
![]()
![]()
Updates plzz..!