Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,268
Ingekuwa mchana nami ningesema ninakula upepo na baiskeli yangu aina ya swalaMalumbano yanaendeleaje mkuu....ah hahahaa
Ingekuwa mchana nami ningesema ninakula upepo na baiskeli yangu aina ya swalaMalumbano yanaendeleaje mkuu....ah hahahaa
Kuna mdada fulani hivi mrembo nimrmsahau jinaShukrani kwa taarifa, ilinipita hiyo.! Kwa hiyo sasa nani yupo kipimajoto?
Masako ameenda wapi mkuu, naomba kujuzwa maana nipo mbali kidogoBinafsi nashukuru kwa taarifa maana ingenipita hiyo ingawa kumkosa Masako ni pigo sana
Nami nipo ndani ya bunsen burner yangu(starlet) nafuatilia kipindi hikinaam nami nipo na bodaboda yangu hapa nimetega mingo huku nafatiria kipindi vema
na tecno yangu H5
Mara nyingi sasa hivi anakuwepo jacklin silem ingawa viatu vya masako bado ni vina mpwaya,masako alikuwa mkomavuShukrani kwa taarifa, ilinipita hiyo.! Kwa hiyo sasa nani yupo kipimajoto?
Masako kastaafu mkuuMasako ameenda wapi mkuu, naomba kujuzwa maana nipo mbali kidogo
Kuna mdada fulani hivi mrembo nimrmsahau jina
Ahaaa asante sana mkuu, ndio nasikia leoMasako kastaafu mkuu
Teeeeeeeeh teeeeeeeeeh teeeeeh teeeeeeeeeh, mkuu haina kiyoyozi?umenikumbusha mwalimu wangu wa chemistry olev kaundulaNami nipo ndani ya bunsen burner yangu(starlet) nafuatilia kipindi hiki
Ndio maana sikosi kwa siku jamii forum mkubwa, maana hapa ndio napata mambo ya kwetuMasako kastaafu mkuu
Hapa ni zaidi ya bbcNdio maana sikosi kwa siku jamii forum mkubwa, maana hapa ndio napata mambo ya kwetu
Nikweli aisee. ..jf imetulia sana yaani najiona kama nipo Bongo nikiingia humuHapa ni zaidi ya bbc
Mkuu kumbe upo nje una kula bata mwenzetu?hongera sanaNikweli aisee. ..jf imetulia sana yaani najiona kama nipo Bongo nikiingia humu
Kiyoyozi kipande cha box unajipepea mwenyeweTeeeeeeeeh teeeeeeeeeh teeeeeh teeeeeeeeeh, mkuu haina kiyoyozi?umenikumbusha mwalimu wangu wa chemistry olev kaundula
Mama weweeeeee mbavu zangu miye,lkn yana sehemu zake kama kule moshi na makambako linafaa sana mkuuKiyoyozi kipande cha box unajipepea mwenyewe
Hakuna Bata ulaya kiongozi, Bata Bongo bhna. Amini mimiMkuu kumbe upo nje una kula bata mwenzetu?hongera sana
Nasikiliza radio one hapa ndani ya Altezza yangu
Karibu sana kwenye danganyika yetu mkuuHakuna Bata ulaya kiongozi, Bata Bongo bhna. Amini mimi