ITV kurusha leo live mkutano mkubwa wa CHADEMA Dar

ITV kurusha leo live mkutano mkubwa wa CHADEMA Dar

Status
Not open for further replies.

AdvocateFi

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2012
Posts
11,492
Reaction score
5,049
Goodmorning Makamanda!

Kuanzia majira ya saa 10:30 jioni kituo cha Taifa cha ITV kitarusha live mkutano mkubwa wa CHADEMA utakofanyika kawe.

Viongozi mbalimbali wa kitaifa watakuwepo, Kamanda wa Anga Freeman Mbowe, Dr. Slaa, Halima Mdeee pamoja viongozi wengine wakuu wa chama.

Ukipata taarifa hii usisite kumjulisha na mwenzako.
 
Kamanda mmelipa kiasi gani ITV maana mkutano wa ACT - Wazalendo mlikuwa mnataka kujua gharama sasa zamu yenu.
 
Hiyo sio dozi ya kukosa la sivyo malaria itatumaliza
Pamoja kamanda
 
Sikuhizi sina morari na hizi habari za chadema, yani kale ka hamu kamenitoka kabisa. NAO WAJIFUNZE KUJA NA SERA

hili ni tatizo la mimba changa linakusumbua ila kumbuka ikifika miezi tisa ukienda hospitali kujifungua utalala chini na utalipia dawa zinaouzwa nje ya hospitali zilizoingia bila kodi
pole dada ndimu usizisahau
 
Tutaheshimiana mkianza kujiunga saa mbili usiku
 
Kamanda mmelipa kiasi gani ITV maana mkutano wa ACT - Wazalendo mlikuwa mnataka kujua gharama sasa zamu yenu.

Tumepewa offer na ITV maana wanaitakia mema Chadema na Taifa kwa ujumla
 
hili ni tatizo la mimba changa linakusumbua ila kumbuka ikifika miezi tisa ukienda hospitali kujifungua utalala chini na utalipia dawa zinaouzwa nje ya hospitali zilizoingia bila kodi
pole dada ndimu usizisahau
Na bado atanunua Grove's na wembe na asisahau ka hela ka chai ka kumpa nesi maana ndio mfumo wa serikali yetu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom