Doreen,Hello jf members! jamani eeh naomba nieleweshwe juu ya hii tetesi ninayosikia bot ITV, nasikia waandishi wake wa habari hawalipwi mshahara wa kila mwezi. waandishi wanalipwa kwa siku tena kama mtu amepata habari na kupeleka; je tetesihizi zina ukweli wowote?