wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,796
Yaani sasa hivi mtangazaji anasimama mbele ya ile meza anaonekana kavaa nini kuanzia chini hadi juu wakati huo anasoma vichwa vya habari na baada ya hapo anageuka sasa (hapa kama ni wa kike lazma uangalie kama ipo au ni flat sceen)au ana vimiguu vyembamba kama vya dada zangu wa kichaga halafu na kama ni mwaaume unaona viatu kama ka (bull)kung'arisha kiwi au kanyoosha vizuri na baada ya hapo ndo anatembea kuelekea kwenye kitu chake tayari sasa kukaa na kuanza kusoma habari kamili.
Hongereni sana nawapa kongole maana zamani tulikuwa tukiwaona kuanzia tumboni kwenda juu chini hatuoni kama kawa bukta au gaguro maana hakuonekani.
big up sana kwenu itv..
Hongereni sana nawapa kongole maana zamani tulikuwa tukiwaona kuanzia tumboni kwenda juu chini hatuoni kama kawa bukta au gaguro maana hakuonekani.
big up sana kwenu itv..