RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 59,404
- 135,001
Tangu ulivyoondokaP hazijashikwa muda?
Tangu ulivyoondokaP hazijashikwa muda?
There you go...hahahaTunamuomba kaka Darmian aje hapa tumuone maringo yake...
Bingiribingiri mpaka chiniiii aahahahhaaa.
Utawajua tu.. kitanda kinamajibu yote!!
Wivu nilionao natamani hata nikumeze wasikuone,wasikusikie Bali nikufaidi Mimi tu! Uwe Mimi niwe wewe tuwe sie wawili tu!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] hipi hiyo???Ujue hilo jina lako nna historia nalo.... (Nkundwe)
[emoji2] [emoji2] [emoji2] hipi hiyo???
Kasie matata
Nkundwe hakika alitisha kabisa yuko wapi siku hizi?? Alifanikiwa kukupata lakini??Huyo Nkundwe huyo (wa kwenye historia) tukiwa darasa la saba alipigana na Richie kwa ajili yangu, Nkundwe akaibuka kidedea akaja hadi nyumbani kwetu..... Isingekuwa busara za mama kumtuliza kisaikolojia leo historia ingekuwa ingine. Nkundwe alikuwa mtoto wa familia bora na mtoto wa pekee alilelewa kupewa na wazazi wake kile atakacho na alijengewa kujiamini mnoo.
Nimejaribu kufupisha mnoo nikiendelea ntajikuta namwaga mchele.
Nkundwe hakika alitisha kabisa yuko wapi siku hizi?? Alifanikiwa kukupata lakini??
kwema?Kabangaaaa, nini tena mzee mwenzangu?
Basi huyo Nkundwe ndo mimi mwenyewe saivi nipo naishi Canada [emoji3][emoji3][emoji3]Aahahahaaa hapana darasa la saba nilikuwa mdogo sanaa. Hata sijui yuko wapi kwa sasa wakati ule baba yake alikuwa kiongozi serikalini hivyo sekondari na kuendelea alisoma ughaibuni.... Sikuonana nae tena tangu hapo.
Mama nae alinipiga bitii, ole wako aje mvulana mwingine hapa nyumbani nakukata masikio na ntamwambia baba yako, unajua alivyo mkali.
Toka hapo nikawa nawakwepa sana wavulana.
Basi huyo Nkundwe ndo mimi mwenyewe saivi nipo naishi Canada [emoji3][emoji3][emoji3]
Kumbe Kasie na wewe wa kisure kitambo
Kasie Matata
nipo tu....Kwema kabisa, nakuhamu tuu.