wazanaki
JF-Expert Member
- Mar 20, 2020
- 1,092
- 804
Wakuu, kitu ambacho inatakiwa tuwe aware kwenye hii dunia ni kwamba tusi concetrate sana kuchukia races, "all races are equal under the sun.
Watu wana concetrate kuchukia wazungu sana na historia iliyotuumiza kwa mda mrefu. Lakini hata kabla ya kuja kwa wakoloni waafrika wenyewe tumeoneana sana. So its about the game of power and wealth not black and white.
Dont put much effort on hating white people, we should join collectively and hate evil not white people.
And there is no such thing called illuminati. Illuminati walikuepo miaka ya nyuma sana. Na group hilo lilianzishwa kwa kubadilisha order ya dunia kutokana na kwamba religion ilikua hai work out anymore kusolve matatizo ya dunia.
Black and white we all human race and we should collectively fight evil.
Watu wana concetrate kuchukia wazungu sana na historia iliyotuumiza kwa mda mrefu. Lakini hata kabla ya kuja kwa wakoloni waafrika wenyewe tumeoneana sana. So its about the game of power and wealth not black and white.
Dont put much effort on hating white people, we should join collectively and hate evil not white people.
And there is no such thing called illuminati. Illuminati walikuepo miaka ya nyuma sana. Na group hilo lilianzishwa kwa kubadilisha order ya dunia kutokana na kwamba religion ilikua hai work out anymore kusolve matatizo ya dunia.
Black and white we all human race and we should collectively fight evil.