lucas more
Senior Member
- Jul 30, 2016
- 108
- 27
Habari ndungu wakubwa kwa wadogo
Naombeni msaada nmepata laptop kutoka dubai kwa sh laki sita aina ya mackbook pro (apple laptop) sasa jinsi ya kuisafirisha kuja tz nifanyeje?
Naombeni msaada nmepata laptop kutoka dubai kwa sh laki sita aina ya mackbook pro (apple laptop) sasa jinsi ya kuisafirisha kuja tz nifanyeje?