'Itikadi na uenezi' nini maana yake?

'Itikadi na uenezi' nini maana yake?

kivyako

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2012
Posts
14,342
Reaction score
12,065
Kwa muda mrefu nimekuwa nikitafari kazi ya mtu mwenye cheo hiki ndani ya CCM ambaye ni Nape Nnauye bila kuelewa?

Kazi yake kubwa ameifanya kupitia mgongo wa CHADEMA, hata mikutano ya CCM ataishia kutaja CHADEMA au viongozi wake.

Nashindwa kuelewa kama ndio mwongozo wa kazi yake ulivyo au ndio uenezi wenyewe au uwa kuna mambo mengine anayafanya au kuyaongea lakini hayapewi coverage na vyombo vya habari?
 
Mkuu kivyako chadema inogopwa kama nini, yaani bila kutaja chadema kwenye mkutano wa ccm huna point, hii inamaanisha nini!! Tuendelee na mapambano ya udhalimu wa ccm kwa njia zote kuanzia mitandaoni mpaka uraiani, na wao ccm waendeleze jitihada zetu kukitangaza chadema kwenye mikutano yao kwani wanatujenga sana na hawajui kama wanajibomoa wenyewe.bravo cdm
 
Back
Top Bottom