Kama alikuwa haelewi angeleta mada kwa mtindo wa swaliMkuu sio kila mtu anaufahamu wa haya mambo... muelewe tu mleta mada!
Waambie waache umbeaNdugu zangu huu ni utaratibu wao pale mwenzao anapoacha ukapela... Harusi zao huwa zinakuwa hivi, kwa hio hakuna tatizo hapo maana huwa inafanyika kwa kufuata taratibu siyo kwamba wanakurupuka tu... kwa wale ambao wamewahi kuhudhuria harusi za maaskari hili sio geni!!!
Kaleta mada kiumbea umbea hiviiKama alikuwa haelewi angeleta mada kwa mtindo wa swali
Acheni ujinga. Siku mojamoja mnajipa mialiko kwenye harusi za wanajeshi. Hapo anaondolewa kwenda kuvaa nguo za kiraia kuendelea na sherehe. Ni kawaida mbona kwa harusi za wakristo za kijeshi.
Ushaambiwa vyeo hapo ni Kofia na Bunduki hasaa... Hizo nguo kawaida tu mzee baba mbona unapanic?? Alafu huoni anamwagiwa kavua kofia au??? Na kumwagiwa hivyo kuna maana kijeshi sio wamekurupuka tu... Sio kila wawaze vita tu sometimes wanarelax kama hivyoo...Kwa safari larger siyo?
Pombe na mambo ya itifaki ya kiserikari ipo vipi?
Ndugu shida hapo ni pombe kutumika kumwagia hayo mavazi na hivyo vyeo walivyotunukiwa na Amiri Jeshi Mkuu Rais.
Kama watavalishwa hivyo vyeo kwa heshima na magwaride makubwa ya heshima. Na baadaye kuchezea namna hiyo haikubaliki kabisa.
Huwenda wengi wetu sisi tukawa washamba lakini werevu(wisdom) Inayotumika kumwagiana mapombe HAPANA.
Watafute utaratibu mwingine mzuri na wa heshima zaidi ya huo.
Hakuna tatizo hapo imekuwa ikifanyika hivyo tangu enzi za Sarakikya mpaka sasa hivi kwa Mabeyo, hapo wanamwaanga mwezio kutoka Ukapela.Kumbe inaruhusiwa kumwagia pombe hili vazi?
View attachment 954195View attachment 954196View attachment 954197
Pia wanafanya kazi kati "W" tatu:Tatizo la wabongo ni washamba na wanaanza ku comment kwenye picha ambayo, kwaza hawakuwepo wakati inapigwa, hawajui lilikuwa ni tukio la aina gani, taratibu za taasisi husika hawazijui. Kwa taarifa yenu hiyo ilikuwa ni ndoa ya kijeshi na ndio shamra shamra za ndoa hizo huambatana na kumwagiwa pombe. Hiyo ni officialy katika majeshi mengi duniani. Kwa nini pombe? pombe ni kiungo kikubwa sana cha mwanajeshi ndio maana hata kwenye mabwalo yao pombe ipo kwa bei poa. Na hata tafsiri ya vita (WAR) wameitafsiri W= WOMEN, A=ALCOHOL, R= RIFLE.
Ushaambiwa vyeo hapo ni Kofia na Bunduki hasaa... Hizo nguo kawaida tu mzee baba mbona unapanic?? Alafu huoni anamwagiwa kavua kofia au??? Na kumwagiwa hivyo kuna maana kijeshi sio wamekurupuka tu... Sio kila wawaze vita tu sometimes wanarelax kama hivyoo...
mrangi njoo uone safari zako zikimwagwa hukuKumbe inaruhusiwa kumwagia pombe hili vazi?
View attachment 954195View attachment 954196View attachment 954197
Duh kosa kubwa kumwaga safari lagermrangi njoo uone safari zako zikimwagwa huku
Kumbe inaruhusiwa kumwagia pombe hili vazi?
View attachment 954195View attachment 954196View attachment 954197
Hapo ulipotaja washamba (ignorant) umemaliza kila kitu. Itabidi uendelee na uerevu wako huku ukiwaacha wala nguruwe wakila nyama yao.Kwa safari larger siyo?
Pombe na mambo ya itifaki ya kiserikari ipo vipi?
Ndugu shida hapo ni pombe kutumika kumwagia hayo mavazi na hivyo vyeo walivyotunukiwa na Amiri Jeshi Mkuu Rais.
Kama watavalishwa hivyo vyeo kwa heshima na magwaride makubwa ya heshima. Na baadaye kuchezea namna hiyo haikubaliki kabisa.
Huwenda wengi wetu sisi tukawa washamba lakini werevu(wisdom) Inayotumika kumwagiana mapombe HAPANA.
Watafute utaratibu mwingine mzuri na wa heshima zaidi ya huo.
Hapo ulipotaja washamba (ignorant) umemaliza kila kitu. Itabidi uendelee na uerevu wako huku ukiwaacha wala nguruwe wakila nyama yao.
U know nothingUshaambiwa vyeo hapo ni Kofia na Bunduki hasaa... Hizo nguo kawaida tu mzee baba mbona unapanic?? Alafu huoni anamwagiwa kavua kofia au??? Na kumwagiwa hivyo kuna maana kijeshi sio wamekurupuka tu... Sio kila wawaze vita tu sometimes wanarelax kama hivyoo...
Pombe ni kiungo kikubwa sana kwa watu wote duniani,Tatizo la wabongo ni washamba na wanaanza ku comment kwenye picha ambayo, kwaza hawakuwepo wakati inapigwa, hawajui lilikuwa ni tukio la aina gani, taratibu za taasisi husika hawazijui. Kwa taarifa yenu hiyo ilikuwa ni ndoa ya kijeshi na ndio shamra shamra za ndoa hizo huambatana na kumwagiwa pombe. Hiyo ni officialy katika majeshi mengi duniani. Kwa nini pombe? pombe ni kiungo kikubwa sana cha mwanajeshi ndio maana hata kwenye mabwalo yao pombe ipo kwa bei poa. Na hata tafsiri ya vita (WAR) wameitafsiri W= WOMEN, A=ALCOHOL, R= RIFLE.