Tish JF-Expert Member Joined Aug 15, 2014 Posts 360 Reaction score 209 Nov 19, 2018 #21 jay-millions said: 250k unanunua itel? Kweli wajinga hawaishi Click to expand... Mkuu ungejaribu ku Google uone sifa ilizonazo kwa sifa hizo kama ingekuwa samsung tegemea bei ingekuwa juuu zaidi pia hiyo waliotoa wao inaweza kua chini ya hapo kwa mtu mwenye matumizi muhimu ya kila siku sio mbaya pia ni mfumo wa android Go.
jay-millions said: 250k unanunua itel? Kweli wajinga hawaishi Click to expand... Mkuu ungejaribu ku Google uone sifa ilizonazo kwa sifa hizo kama ingekuwa samsung tegemea bei ingekuwa juuu zaidi pia hiyo waliotoa wao inaweza kua chini ya hapo kwa mtu mwenye matumizi muhimu ya kila siku sio mbaya pia ni mfumo wa android Go.
ujoka JF-Expert Member Joined Nov 27, 2014 Posts 5,011 Reaction score 11,806 Nov 19, 2018 #22 The Monk said: Kama bei ni chini ya 200,000/- mwaka mmoja inatosha Sana. Click to expand... 185000/= nmechukua last month
The Monk said: Kama bei ni chini ya 200,000/- mwaka mmoja inatosha Sana. Click to expand... 185000/= nmechukua last month