Itawezekana mimi na yeye kuoana kweli?

Itawezekana mimi na yeye kuoana kweli?

Haitawezekana kabisaa kwa sababu moja tu kuwa wasichana wengi hawaolewagi na wanaume waliowatoa bikira.....mfano ni mimi mwenyewe wasichana 8 niliwatoa bikira na sijawaoa nimeoa ambaye alishatolewa na dume mwingine ambaye alimuacha kama mi nilivyoachana na hao 8.

Duuh panga hatareeee
 
Miaka 22 unawaza kuolewa???
Sio siri ndo maana wazazi hawataki uendelee na huoo uhusiano.
Soma kwanza ukimaliza ukawa na maisha yako wazazi hawatoweza kukataa kamwe...

Kwan mtu anatakiwa aolewe akiwa na umri gan?
 
We don't have a voices...when our heart make choices...because love doesn't ask why....
 
Haitawezekana kabisaa kwa sababu moja tu kuwa wasichana wengi hawaolewagi na wanaume waliowatoa bikira.....mfano ni mimi mwenyewe wasichana 8 niliwatoa bikira na sijawaoa nimeoa ambaye alishatolewa na dume mwingine ambaye alimuacha kama mi nilivyoachana na hao 8.
duhuu!!!!!!Wote hao
 
Achaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!.......io n dhambi....io mambo wachie warabuu...
 
yaani dada yangu hapo inategemea na jinsi unavyojua na kuwaheshimu wazazi wako,ikiwa siku zote wamekuwa wakikushauri vizuri mpaka umefika hapo ulipo basi amini hata katika hilo ni Mungu kawatumia wao wakushauri..
Zingatia sana asemacho mzazi wako ikiwa tu si dhambi..
Unaweza ukaolewa na huyo boy kumbe kuna tatizo litawakabili baadaye,sasa kabla hujasema "ninge..." hebu amua sasa..
mwambie lover wako kwa upole tu kwamba haiwezekani,mzazi kazuia. Ni ngumu kukubali ila no way out,,fwata ulichoshauriwa na wazazi maana Mungu aliwaamini hao akakuweka chini ya uangalizi wao.
 
Soma shule achana na ndoa kwa sasa!Miaka 22 tulitegemea unatuandikia kutukaribisha kwenye graduation yako Mzumbe lkn ww unataka tujadili ndoa yako

Daaah kizazi cha sex bana
 
Back
Top Bottom