Itambue thamani ya uliyenae

Usichoke kuwaonyesha wale unaowajali kuwa ni kiasi gani unawaheshimu na kuwathamini. Wala isifike hatua ukawa na mtu afu unaogopa kumuonyesha kuwa unamthamini eti kisa atatake advantage ya upendo wako. Kama unampenda na kumjali muoneshe tu, utaamka siku moja huyo mtu hayupo afu hutopata chance tena ya kumuonesha huo upendo wako
Ukiona hawakuthamini, just walk away. . Huwezi kumforce mtu akuthamini. Ipo siku utampata atakayeona thamani yako. Ndicho kitu nilichojifunza so far
 
huoni kuwa utakuwa hujafanya Kitu sahihi?

Hakuna break up isiyouma mkuu, labda uwe hujampenda mtu, lakini kama@heaven sent alivyosema huwezi kuendelea kuwa na mtu ambaye hajui thamani yako
 
Well said Kaka.Kuna vitu vimejaa maswali mengi na unaweza hisi kama vile unahitaji maarifa zaidi juu yake,,nikiliona bandiko lako hapo juu linanipa kuona siko mwenyewe,ili kizuri watu wengi wanaongeza maarifa.
 
Iundwe katiba na zitungwe sheria za kulinda hisia na thamani za watu ktk mahusiano, ndoa na mapenzi!

Iwe katiba huru itokane na maoni huru ya wananchi na tume iwe huru na bunge huru!
tutaipitisha kwa kuipigia kura wenyewe!!

Maana ishakuwa disaster!!! Hakuna namna, atakaekyuka afungwe jela au alipishwe faini au adhabu yoyte itakayofaa!!
 
Well said Kaka.Kuna vitu vimejaa maswali mengi na unaweza hisi kama vile unahitaji maarifa zaidi juu yake,,nikiliona bandiko lako hapo juu linanipa kuona siko mwenyewe,ili kizuri watu wengi wanaongeza maarifa.

ahsante mkuu, Huo ndio uhalisia wa tunayokutana nayo katika mahusiano. Unaweza kusimama na kuonyesha kila Aina ya Mapenzi na kuthamini lakini kinachokuja kutokea unaweza kujuta na Kujilaumu kwa kuonyesha kujali na kumpa mtu thamani katika maisha yako
 

Safi sana well said.
 

daima niko hivyo na ubaya wangu huwa nikipenda naonyesha kila kitu nadhani ndio maana wananitenda
 
daima niko hivyo na ubaya wangu huwa nikipenda naonyesha kila kitu nadhani ndio maana wananitenda
Hawakutendi kwa sababu "unaonyesha kuwa unawapenda sana", ni ujinga wao tu ndo maana wanakuja kujua thamani yako hapo baadaye. Huna kosa, na hicho ndicho exactly moyo wako unachokitaka kwa wakati huo, just do it anyway.
 
ahsante mkuu, Huo ndio uhalisia wa tunayokutana nayo katika mahusiano. Unaweza kusimama na kuonyesha kila Aina ya Mapenzi na kuthamini lakini kinachokuja kutokea unaweza kujuta na Kujilaumu kwa kuonyesha kujali na kumpa mtu thamani katika maisha yako

ibra87 LOVE haina genius wala expert wala shukurani!!
kati ya vitu vya ajabu duniani ni mapenzi na maswali yake hayana majibu suluhishi!!
Never control love, yaache yajiendeshe!
Ukipenda, ukijali, ukithamini sanaaaa tegemea MAUMIVU mbele yako!!!
 
Last edited by a moderator:
daima niko hivyo na ubaya wangu huwa nikipenda naonyesha kila kitu nadhani ndio maana wananitenda

Those who love deeply are the ones getting hurt deeply.... Ifike wakati hako kamoyo kasishirikishwe kwenye mapenzi manake utashindwa kukarepea kabisa ha ha ha!!!
 
ahsante mkuu, Huo ndio uhalisia wa tunayokutana nayo katika mahusiano. Unaweza kusimama na kuonyesha kila Aina ya Mapenzi na kuthamini lakini kinachokuja kutokea unaweza kujuta na Kujilaumu kwa kuonyesha kujali na kumpa mtu thamani katika maisha yako

Nimependa Heaven Sent anavyosema USICHOKE kuwaonyesha wale unaowajali namna unavyowathamini hata kama huoni responce uliotarajia maana uko wakati atatokea anaeona thamani ya kujali kwako,,kama kuwekeza..IKO SIKU atatokea.
 
Last edited by a moderator:

kwahiyo mkuu unataka unambie njia ya kuepuka hilo ni kutokuonyesha kujali, kuthamini wa kushukuru?
 
Last edited by a moderator:
Those who love deeply are the ones getting hurt deeply.... Ifike wakati hako kamoyo kasishirikishwe kwenye mapenzi manake utashindwa kukarepea kabisa ha ha ha!!!

ha ha ha ha!!! Aisee
 
Nimependa Heaven Sent anavyosema USICHOKE kuwaonyesha wale unaowajali namna unavyowathamini hata kama huoni responce uliotarajia maana uko wakati atatokea anaeona thamani ya kujali kwako,,kama kuwekeza..IKO SIKU atatokea.
Mpendwa hatuinvest kwenye mapenzi but tunafanya vile moyo unachotaka. But ikifika hatua mtu haappreciate unachokifanya na wala hana hata habari na wewe basi jiondokee tu. Sio kwamba upo weak but upo strong sana kiasi cha kuruhusu moyo wako uwe na amani.
 
Last edited by a moderator:
Nimependa Heaven Sent anavyosema USICHOKE kuwaonyesha wale unaowajali namna unavyowathamini hata kama huoni responce uliotarajia maana uko wakati atatokea anaeona thamani ya kujali kwako,,kama kuwekeza..IKO SIKU atatokea.

namuelewa sana Heaven Sent ni moja kati ya Watu wanaopenda kusimamia kujenga kuliko kubomoa.. Moyo Wangu siwezi kuubadilisha kutoka kwenye kile ulichozoea Kuuleta huku kwingine
 
Last edited by a moderator:
Pia angalia kujifunza kwa makosa,,kile alichokifanya kikakuumiza wewe ulichangia asilimia ngapi mpaka akakifanya ni wapi alitake adv? Ni kitu gani ungekiacha au kukipunguza asingekuumiza? Lakini bado naamini mwenye kuthamini namna ulivyo IPO Siku atatokea.
 
Those are just stories, love is understanding each other
 

mkuu hilo ndilo ninalo lihitaji lakini nashangaa mtu ameamua kuondoka mwenyewe bila kulazimishwa kisha anakwambia nahitaji kurudi kwa kuwa nimegundua thamani
 
Its painful to say goodbye to someone you don want to let go but its more painful to ask someone to stay if you know he wants to go!!!! Think big....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…