Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,376
Daah sifa na utukufu zimrudie Mungu. Coz si kwa akili zangu/ ujanja/uwezo wangu kuwa hivyo unavyoniona, ila ni kwa neema tu ya Mungu. Ahsante sana mkuuTukipata Heaven Sent kumi tu JF will be a better place
Nimekukubali mkuu. Napenda sana michango na ushauri wako. Pamoja sanaDaah sifa na utukufu zimrudie Mungu. Coz si kwa akili zangu/ ujanja/uwezo wangu kuwa hivyo unavyoniona, ila ni kwa neema tu ya Mungu. Ahsante sana mkuu
"Sometimes we don't lose people..,some people lose usBinadamu wengi huwa tunatambua thamani ya kitu/mtu pale ambapo hatujakipata kabisa au tumekipata but tumekipoteza kisa tulikichukulia for granted.
I ain't perfect but TG kwa wale wachache/ vichache nilivyonavyo, navithamini and kama ni mtu basi I'll let him/her know ni kiasi namthamini kwa maneno na vitendo. Japo kuna wakati, watu wanaweza wakakuchukulia poa, but Nisikukatishe bit tamaa wala kubadilisha the person you are. Sijawahi kujuta why nilimwonesha mtu fulani kuwa namthamini, na sijawahi kutamani labda ningemtreat mtu fulani vizuri, still angekuwepo maishani mwangu. "Sometimes we don't lose people.., some people lose us". Thamini na heshimu kile ulichonacho, kuna watu wanaomba na kutamani hata wangekuwa na ulivyo navyo but ndo hawana
Haya mambo yasikie kwa wengine lakini yakikukuta ni majanganimekubali dada angu
ni kweli mkuu... Wakati mwingine huwa tunahitaji kufutwa machozi Kwa Yale tuliopitia lakini hakuna. Wa kutufuta. Wote wamekuwa kama wale wasiokuwa na Huruma.Haya mambo yasikie kwa wengine lakini yakikukuta ni majanga
nimeanza kukupenda dada Dotto kama huna mtu fanya kunipm mpenzimkishaachana, yani mmeshapigana kibuti baaaaaadaeeeeee......!!!!!! ndo unaanza ooh!!! dah!!! aiseee!!! kumbe huyu demu alikuwa mtu mhimu sana kwangu. kipindi uko nae ulikuwa unamuona fala furani ukishikwa shikana kabisa weka na gundi au super glue ili msitenganishe na chochote
Haaahahaha house girl atoto teh katika pita pita zangu nilipita na hapanimeanza kukupenda dada Dotto kama huna mtu fanya kunipm mpenzi
Amemaanisha mazoea yenu yawe katika mahusiano ya mapenzi msiingize tabia zako unazofanya kwenu au unapokuwa na wenzako kwa mtu wako unaempenda.Mfano:?kwahiyo mnapokuwa katika mahusiano mnatakiwa msijenge mazoea?
nilijua ndio tunapotezeana kumbe bado? Kama hiki unachukulia kwa umakini wa hali ya juu basi hiyo miaka mitano ya kusoma kwako haikukusaidia kuelewa wala kutambua kipi sahihi na kwa wakati upi na kipi si makini na kwa wakati gani. Nakupenda brenda hakika upo ndani ya Moyo wangu. Jaribu kupunguza panic yako itaharibu hekima yako dada anguHaaahahaha house girl atoto teh katika pita pita zangu nilipita na hapa
mapenzi hayana kanuni maalum kwa kuwa kila mmoja ana kile anachokihitaji kwa mwenzake. Inapotokea hutaki mpenzi Wako Akuzoee hapo kutakuwa na umuhimu gani wa kuwa wapenzi?Amemaanisha mazoea yenu yawe katika mahusiano ya mapenzi msiingize tabia zako unazofanya kwenu au unapokuwa na wenzako kwa mtu wako unaempenda.Mfano:?
Well said @heavensentYou don't deserve to be hurt at all. Just learn to "release" some people out of your life. That poor soul is just for God and few loyal people God blesses us with, not for those who hurt us. Your destiny isn't tied to them anymore. Just say " it was good having you, thanks for everything" and then move out and see what life has in store for you. Sometimes we find the good in goodbye.
sahz hyo makitu sii apply nnaangalia kwanza ishu ya hela na ndoto zangumkuu huwezi kujiuzulu katika hili, unachofanya ni kupumzika na kuishi kimachale.