Itakuwaje Lowassa akiamua kurudi CCM?

Itakuwaje Lowassa akiamua kurudi CCM?

Huwezi amini; mimi sio mtabiri wala mganga wa kienyeji, natumia dalili zinaoonekana wazi kwa werevu wa mambo. muda mchache kabla ya mwaka 2020, ambao ni mwaka wa kinyang'anyiro cha uchaguzi itatokea kuhama kwa vigogo wakubwa wa siasa nchini na kuhamia chama tawala CCM, kama si kuhama basi lile kundi lillilohama...likiongozwa na mkubwa wao litarudi kundini mara baada ya mazungumzo ya muda mrefu na makubaliano baina ya marafiki wawili. Upande wa upinzani utakua na siasa za mtu mmoja mmoja, hawatafanya kazi kama timu tena, watavurugana na kila mtu atakwenda kutetea nafasi ya ubunge, hawatakua na presidential material, waliomuandaa atakua amewatupa mkono. Jamaa yule atarudishwa kuokoa jahazi upande wa pili kwa kuwa kinachoendelea kwenye nyumba yetu hatukukitarajia, tunapiga hatua za haraka RETROkurejea.... hapo kutatokea tafrani kamati kuu ya chama baada ya jamaa yule kutaka amalizie na jamaa yule aliyerejea kundini au aliyerejeshwa kutaka kuingia akasawazishe palipoharibika, hapa itakuwa balaa kubwa ila kwakua mtandao ni imara na wanakamati watakua wameisoma namba sana watafanya kila juhudi safari ya jamaa aliyeko mzigoni isite. FORGET ABOUT OPPOSITION TO LEAD THIS COUNTRY, EVEN 100 YRS I DON SEE IT....... TOROKA URUDI


Hapa ndo utaona umuhimu wa mama ndalichako anavokomalia watu wasome wakiwa na sifa, mmekalia majungu na siasa, jikite kufanya kazi upate kipato achana na siasa na tabiri za kijinga, yaani badala ya kufanya kazi unahangaika na uchaguzi wa 2020?
 
Kati ya vitu CCM haiogopi ni hivyo ulivyosema. Kwa vyovyote wana uhakika wa kutangazwa washindi hata kama wakisimamisha jiwe kama mgombea wao. Hawana sababu ya kufanya mazungumzo ya muafaka na waliohama. Kwa ujumla wana uhakika kuwa JPM ataachia mwingine 2025 na si kabla ya hapo. Wanalala usingizi bila kujali kinachoendelea katika vyama vya upinzani! Jahazi lao liko salama na hakuna eti mtu ahamie ili kuokoa! Kitu hicho hakuna!!!!
 
Twakutakia ndoto njema.
Ila nitakusaidia kidogo.
Neno "UPINZANI" katika lugha ya kiswahili LINAPOTOSHA sana

Linamaanisha,
ADUI wa serikali iliyoko madarakani. (Na haitakikani kuwa hivyo)
ADUI wa Maendeleo na
ADUI wakila kitu chema. Na hivyo pia si kweli.

Lakini katika lugha tofauti lina maana nzuri sana,
MINORITY in Parliament/Chama cha WALIO WACHACHE bungeni!
Government in waiting/Serikali inayongojea ikipata nafasi kidemokrasia itawale.
Hili pia si jambo baya maana ndo demokrasia ilivyo!

UZURI wa vyama vingi ama chama kilicho na wabunge WACHACHE bungeni.NI KUIWEKA SERIKALI on its toes. Katika kufanya Checks and Balansi.

Yaani KUIKOSOA serikali na KUIAMUSHA wakati INAPOPOTOKA!
Huku ikizingatiwa kuwa SIO UADUI bali ni utofauti wa mitazamo.

Kwa hiyo HAITAKUWA vizuri KUTOKUWA na chama kilicho na wabunge wachache bungeni/ UPINZANI.
Yawezekana hata CCM siku moja nao WAKAWA chama kilicho na wabunge wachache/UPINZANI.
Siasa ni DYNAMIC haitabiriki mkuu!!
Nani alijua Magufuli ATAKUWA RAIS ?
 
Kati ya vitu CCM haiogopi ni hivyo ulivyosema. Kwa vyovyote wana uhakika wa kutangazwa washindi hata kama wakisimamisha jiwe kama mgombea wao. Hawana sababu ya kufanya mazungumzo ya muafaka na waliohama. Kwa ujumla wana uhakika kuwa JPM ataachia mwingine 2025 na si kabla ya hapo. Wanalala usingizi bila kujali kinachoendelea katika vyama vya upinzani! Jahazi lao liko salama na hakuna eti mtu ahamie ili kuokoa! Kitu hicho hakuna!!!!
OBJECTIVE hapa sio kwamba kuna upinzani mkubwa ndio maana watafanya muafaka na waliohama no ila watafanya hivyo kwa kuwa wanasomeshwa namba.......INAWAUMA
 
Huwezi amini; mimi sio mtabiri wala mganga wa kienyeji, natumia dalili zinaoonekana wazi kwa werevu wa mambo. muda mchache kabla ya mwaka 2020, ambao ni mwaka wa kinyang'anyiro cha uchaguzi itatokea kuhama kwa vigogo wakubwa wa siasa nchini na kuhamia chama tawala CCM, kama si kuhama basi lile kundi lillilohama...likiongozwa na mkubwa wao litarudi kundini mara baada ya mazungumzo ya muda mrefu na makubaliano baina ya marafiki wawili. Upande wa upinzani utakua na siasa za mtu mmoja mmoja, hawatafanya kazi kama timu tena, watavurugana na kila mtu atakwenda kutetea nafasi ya ubunge, hawatakua na presidential material, waliomuandaa atakua amewatupa mkono. Jamaa yule atarudishwa kuokoa jahazi upande wa pili kwa kuwa kinachoendelea kwenye nyumba yetu hatukukitarajia, tunapiga hatua za haraka RETROkurejea.... hapo kutatokea tafrani kamati kuu ya chama baada ya jamaa yule kutaka amalizie na jamaa yule aliyerejea kundini au aliyerejeshwa kutaka kuingia akasawazishe palipoharibika, hapa itakuwa balaa kubwa ila kwakua mtandao ni imara na wanakamati watakua wameisoma namba sana watafanya kila juhudi safari ya jamaa aliyeko mzigoni isite. FORGET ABOUT OPPOSITION TO LEAD THIS COUNTRY, EVEN 100 YRS I DON SEE IT....... TOROKA URUDI
Wewe siyo Lusekelo wewe?
 
Huwezi amini; mimi sio mtabiri wala mganga wa kienyeji, natumia dalili zinaoonekana wazi kwa werevu wa mambo. muda mchache kabla ya mwaka 2020, ambao ni mwaka wa kinyang'anyiro cha uchaguzi itatokea kuhama kwa vigogo wakubwa wa siasa nchini na kuhamia chama tawala CCM, kama si kuhama basi lile kundi lillilohama...likiongozwa na mkubwa wao litarudi kundini mara baada ya mazungumzo ya muda mrefu na makubaliano baina ya marafiki wawili. Upande wa upinzani utakua na siasa za mtu mmoja mmoja, hawatafanya kazi kama timu tena, watavurugana na kila mtu atakwenda kutetea nafasi ya ubunge, hawatakua na presidential material, waliomuandaa atakua amewatupa mkono. Jamaa yule atarudishwa kuokoa jahazi upande wa pili kwa kuwa kinachoendelea kwenye nyumba yetu hatukukitarajia, tunapiga hatua za haraka RETROkurejea.... hapo kutatokea tafrani kamati kuu ya chama baada ya jamaa yule kutaka amalizie na jamaa yule aliyerejea kundini au aliyerejeshwa kutaka kuingia akasawazishe palipoharibika, hapa itakuwa balaa kubwa ila kwakua mtandao ni imara na wanakamati watakua wameisoma namba sana watafanya kila juhudi safari ya jamaa aliyeko mzigoni isite. FORGET ABOUT OPPOSITION TO LEAD THIS COUNTRY, EVEN 100 YRS I DON SEE IT....... TOROKA URUDI
Porojo
 
kichwa kinachowaza umasikini sana,kikiambatana na njaa kali tumboni siku zote hua na ramli za aina hii...wewe ni hasara kwa wazazi wako,lakini ni faida kwa Vi.laza.
 
Njoo uone vioja vyako. Sisi wengine watoto wa town kitambo. Huyo ndalichako wako watu tumemfundisha wewe unazugumza nini bhana. Nadhani utakua umeelewa nilichokua naongea miaka mitatu nyuma
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom