Poise
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 7,633
- 7,899
Naona umezitaja BRAIN WASHING CENTERS....ahahahaa.....
mkojo wa bhange,
Mkuu
Wewe si Unaona Mzee wa nyoka wa makengeza alitoka huko na sasa anawajambisha St. Kayumba na Elimu za Memkwa wote wako chali!
Mimi hata sibishani nao, hata wahamishe bahari na vilivyomo wapeleke majumbani mwao.
Nakaa zangu pembeni kabisaaa tena kimyaaaaa.