Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,411
- 11,060
Tusipuuze taarifa au tetesi za magaidi wa huko Msumbiji kuvamia msafara wa Wapiganaji wetu, kama ipo na ni taarifa ya kweli matukio ya spinning za akina Bashiru mkae chonjo, ziara na maandamano yote yatapofusha macho na masikio kuhusu habari za magaidi waliovamia msafara sio jambo la kuchekea Kwa kufanya public spinning for divergence.
Tusifanye mzaha sasa yanajirudia yale ya Dafur?
Tufanye ni tetesi lakini sisi watoto wa Wapiganaji na Reserve combatants hatupuuzi vitu kama hivi.
A mission Where there is Rwanda we always get ambushed, is it by coincidence? In any case kama ni kweli.
Be careful brothers not easy not simple.
Tusifanye mzaha sasa yanajirudia yale ya Dafur?
Tufanye ni tetesi lakini sisi watoto wa Wapiganaji na Reserve combatants hatupuuzi vitu kama hivi.
A mission Where there is Rwanda we always get ambushed, is it by coincidence? In any case kama ni kweli.
Be careful brothers not easy not simple.