It would make more sense: CUF waungane na CCM ktk bunge la Muungano.

JokaKuu

Platinum Member
Jul 31, 2006
28,117
49,426
..kama CUF wameungana na CCM kwenye baraza la wawakilishi ni bora pia wakaungana ktk bunge la muungano.

..hatua hiyo itaondoa mvurugano ambao unaweza kutokea ikiwa CUF watakuwa ktk kambi ya upinzani ktk bunge la jamhuri.

..vyama vilivyobakia kama Chadema,NCCR,TLP, etc ndiyo viunde kambi ya upinzani ktk bunge la jamhuri.
 
1 Reactions
Reply
Top Bottom