IT Professional certifications au masters?

Sasa na hio jentromeni mzee baba kazi atakupa nani mzee mwenzangu
 
Hizo ict certifications ni zipi na zinapatikanaje.
 
Nimekupata mkuu..je kama sina it ila na tamani kuzisoma itawezekana..?
 
IT ajira zipo nyingi sana. Jitahidi **** application na Kutafuta connection utafanikiwa
 
Mzee Mimi nipo serikalini nimefanya Nazi vodacom nimefanya Nazi crdb, naomba nikwambie GPA has nothing to do with getting the best job in public or private sector unless post za academician asikudanganye mimi mfano watu wengi niliofanya nao interview wengi wao huwa na GPA ndogo saaaana zaidi ya hiyo
 
Kwa situation kama yako go for IT Certification japo siyo guarantee kuwa utapata kazi ila itakupa Added Advantage kati ya washindani. Cha Muhimu ni kutafuta sehemu ya kujitolea ili uweze kupata uzoefu na kujua jinsi kazi zinavyofanyika. Fanya certification unayoipenda na kuiweza usifanye sababu inalipa zaidi utafeli big time!
 
Certifications na masters vyote vina umuhimu ,lakn katika mazingira tofauti. Pia certications zinatofautiana .Wasiliana nasi Fulgent Careers kwa ushauri wa kitaalam na maelezo kamili kwa gharama ya tsh 5000. tu.pm au 0769 524 022.
 
Certifications na masters vyote vina umuhimu ,lakn katika mazingira tofauti. Pia certications zinatofautiana .Wasiliana nasi Fulgent Careers kwa ushauri wa kitaalam na maelezo kamili kwa gharama ya tsh 5000. tu.pm au 0769 524 022.
Aiseee!
 
Certifications na masters vyote vina umuhimu ,lakn katika mazingira tofauti. Pia certications zinatofautiana .Wasiliana nasi Fulgent Careers kwa ushauri wa kitaalam na maelezo kamili kwa gharama ya tsh 5000. tu.pm au 0769 524 022.
Mhhhhh
 
Certifications na masters vyote vina umuhimu ,lakn katika mazingira tofauti. Pia certications zinatofautiana .Wasiliana nasi Fulgent Careers kwa ushauri wa kitaalam na maelezo kamili kwa gharama ya tsh 5000. tu.pm au 0769 524 022.
Ahahaahahahahaha
 
Certifications na masters vyote vina umuhimu ,lakn katika mazingira tofauti. Pia certications zinatofautiana .Wasiliana nasi Fulgent Careers kwa ushauri wa kitaalam na maelezo kamili kwa gharama ya tsh 5000. tu.pm au 0769 524 022.
Safi sana kwa kuiona fursa. Ofisi zenu zinapatina wapi mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…