Hizi hutolewa na vendor husika kama cisco-hawa ni kwa upande wa network, ceh-hawani upande wa security, cisa -inatolewa na isaca katika mambo ya system audit, microsoft. Ziko nyingi sana....kama uko ktk industry ya IT lazima utakuwa umezisikia.. Ila kama uko nje ya IT ni ngumu kuzielewa. Mitihani yao ni online, unaweza soma course online au kunabaadhi ya centers hapa tz wanafundisha