Sembeta jr
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 805
- 367
Jamani enough is enough miaka 31 na bado kila mwanamke namwona si chaguo langu, ni yupi mungu ameniandalia mimi kuwa wangu wa maisha?? Je ni wewe mdada unaesoma hii meseji?? C'd it be you? Nina kipato cha kawaida kabisa cha kutosha kuhudumia familia yangu, lakini nimedharauliwa sana. nimedanganywa sana..... nimenyanyasika sana na nimeumizwa sana katika mapenzi lakini bado na imani yupo wangu ambaye tutaendana.... tutapendana na kupeana faraja mpaka mwisho wa uhai wetu.
Nilijaribu kuishi singo lakini bado nafsi yangu nahisi kuna kitu inakosa, ninatamani kuelekeza fikra maisha na upendo wangu wote kwa atakayetokea anayehisi kama mm kwani naamini wapo wengi ambao wanatamani haya niliyoyasema lakini hawajui watapata wapi upendo wa kweli.... please kama ni wewe come to me na nitakupokea kwa mikono miwili tafadhali njoo tupendane..kwani nahisi upendo wangu umevuka mipaka yote ya kibindamu.
Tafadhali, mimi na ofa upendo uliotukuka na vingine ndo vinafuata.
mimi ni muislamu ni mwajiriwa ktk kampuni, naishi dar/pwani.
Sichagui chochote ila kupima afya ndo kipaumbele cha kwanza.
Kama kweli kuna watu humu walipata wenzi wao nami naamini kama mungu amepanga nimpate aliyenipangia basi nami ntapata hapa au popote pale.
Dhamira yangu kuu ni ndoa na upendo tuu.
Kwa kuwa jambo langu nalifanya kwa heri, wala sina cha kuficha hata hapa tunaweza tambuana lakini pia pm ruksa.
Asanteni sana
Nilijaribu kuishi singo lakini bado nafsi yangu nahisi kuna kitu inakosa, ninatamani kuelekeza fikra maisha na upendo wangu wote kwa atakayetokea anayehisi kama mm kwani naamini wapo wengi ambao wanatamani haya niliyoyasema lakini hawajui watapata wapi upendo wa kweli.... please kama ni wewe come to me na nitakupokea kwa mikono miwili tafadhali njoo tupendane..kwani nahisi upendo wangu umevuka mipaka yote ya kibindamu.
Tafadhali, mimi na ofa upendo uliotukuka na vingine ndo vinafuata.
mimi ni muislamu ni mwajiriwa ktk kampuni, naishi dar/pwani.
Sichagui chochote ila kupima afya ndo kipaumbele cha kwanza.
Kama kweli kuna watu humu walipata wenzi wao nami naamini kama mungu amepanga nimpate aliyenipangia basi nami ntapata hapa au popote pale.
Dhamira yangu kuu ni ndoa na upendo tuu.
Kwa kuwa jambo langu nalifanya kwa heri, wala sina cha kuficha hata hapa tunaweza tambuana lakini pia pm ruksa.
Asanteni sana