Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,172
Ni kweli kubakwa ni udhalilishwaji kijinsia na tuendelee kuutupia madongo
lakini ni ukweli pia kila inapowezekana mwathirika mtarajiwa pambana kujinusuru na suluba hiyo...................................
Ukweli unaniongoza kuamini ya kuwa mwathirika mtarajiwa akiona amewekwa kwenye kibanio cha sawasaawia ni vyema akakubali yaishe kwani hakuna mapana yasiyo na ncha.....................................
Na ni ukweli uliokithiri ya kuwa kunusuru uhai wa mwathirika upewe kipaumbele kulikoni kujikita katika kunusuru kero ya kubakwa............
Kwani ni ukweli usiopingika ya kuwa maisha endelevu pia yapo na tena yenye furaha baada ya kunyanyasika.........................fikiria uhai na uutetee kadiri inavyowezekana.............
ila usinisurubu kwa kudhani ninapigia tarumbeta wabakaji....la hasha.......................ninawakemea kwa nguvu zote..............
lakini ni ukweli pia kila inapowezekana mwathirika mtarajiwa pambana kujinusuru na suluba hiyo...................................
Ukweli unaniongoza kuamini ya kuwa mwathirika mtarajiwa akiona amewekwa kwenye kibanio cha sawasaawia ni vyema akakubali yaishe kwani hakuna mapana yasiyo na ncha.....................................
Na ni ukweli uliokithiri ya kuwa kunusuru uhai wa mwathirika upewe kipaumbele kulikoni kujikita katika kunusuru kero ya kubakwa............
Kwani ni ukweli usiopingika ya kuwa maisha endelevu pia yapo na tena yenye furaha baada ya kunyanyasika.........................fikiria uhai na uutetee kadiri inavyowezekana.............
ila usinisurubu kwa kudhani ninapigia tarumbeta wabakaji....la hasha.......................ninawakemea kwa nguvu zote..............