Zingine zinawekwa na shetani wakuzimu mkuu....taka usitakeHakuna mfano wa kweli kwenye hili kwa kuwa Serikali huwekwa na Mungu mwenyewe!
Idd Amin DadáAlikuwa judge yupi huyo?
Sent from my SM using Tapatalk
Ni ulimwenguni kote,ndo maana unaambiwa "You are not allowed to shake the state"Kichwa cha habari kiko wazi hebu toa mifano ya kweli na sahihi popote duniani inayothibitisha kwamba ni hatari kuwa sahihi wakati mamlaka haiko sahihi kazi kwetu