Alinunua kwa 4000 kisha akauza kwa 5000 hivyo faida = 1000
Alipolihitaji, akalipa 6000 hivyo ikamgarimu kuongeza 1000 hivyo loss = 1000
Kisha akaja kuliuza 7000, faida 3000 kulinganisha na bei aliyonunulia mwanzo,,
Wakati alipolinunua kwa 6000 ilimlazimu kukopa 1000 ili aweze kujazilia pesa aliyokuwa nayo..
Hivyo alipokuja kuliuza kwa 7000 ilimlazimu kurejesha 1000 na kubakiwa na 6000, hivyo faida aliyobaki nayo mwisho wa siku ni 2000...
Makofi Tafadhali..