IST INAHITAJIKA

IST INAHITAJIKA

G.Jacob

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2013
Posts
3,617
Reaction score
3,490
Nahitaji gari aina ya IST iliyotumika lakini iwe na hali nzuri kwa matumizi ya kutembelea mjini na kuitumia kwa safari za mbali.
Bajeti yangu ni mil.6,500,000/=Tsh.
Mwenye nayo naomba anicheki PM au hata hapa itakuwa poa zaidi kwa wadau wengine watakaohitaji.
 
Nahitaji gari aina ya IST iliyotumika lakini iwe na hali nzuri kwa matumizi ya kutembelea mjini na kuitumia kwa safari za mbali.
Bajeti yangu ni mil.6,500,000/=Tsh.
Mwenye nayo naomba anicheki PM au hata hapa itakuwa poa zaidi kwa wadau wengine watakaohitaji.
Kila la heri Mkuu,
Kua makini tu na matapeli
 
Kila la heri Mkuu,
Kua makini tu na matapeli
Nahitaji gari aina ya IST iliyotumika lakini iwe na hali nzuri kwa matumizi ya kutembelea mjini na kuitumia kwa safari za mbali.
Bajeti yangu ni mil.6,500,000/=Tsh.
Mwenye nayo naomba anicheki PM au hata hapa itakuwa poa zaidi kwa wadau wengine watakaohitaji.
ipo kaka namba c kama ni serious buyer nichek
 
ipo pia probox namba DZB ni kama mpya kabisa mshua wngu anaisukuma vyuma vimemkazia
Bei: mil 9.5 maongez kidgo tapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom