Daud Hassan
Senior Member
- Jul 12, 2018
- 182
- 240
- Thread starter
-
- #141
Unauhakika kama ameshambuliaMliambiwa wekeni akiba ya maneno Israel hatabiriki mkabisha.... Ona sasa babu kaingia kama kawa kachapa na kasepa na hiyo mipipa yenu s300 sijui S400 ikiwepo...labda muongeze s1000 shubamiti[emoji12]
Ushaambiwa hii taarifa sio sahihi lakini bado tu haujiongeziHuenda wayahudi wameziloki kitaalamu acha Israel awatandike hao vibaraka wa Putin (natania tu)
S-700 haipo bado, ila waziri wa ulinzi wa Israeli aliongea hiyo statement kuwa, kama Syria watatungua ndege za kivita za israeli.. Israeli itazifuta air defence zote zilizohusika haijalishi ni s-300 au hata s-700 kama itakuwepo, ila watazifuta sasa kwa historia ambayo huijui Israeli imepigana vita mara nyingi kuliko nchi yoyote..sasa jaribu kujua hivyo vita vilikuaje! kama ni wakulima ndo utajua. Na kama ungejua sehemu kubwa ya uchumi wao ni kwa kuuza vifaa vya kijeshi kwa marekani, Urisi, China, India na nchi nyingine kibao ungejua namaanisha nini hapo
Ukijiongeza wewe inatoshaUshaambiwa hii taarifa sio sahihi lakini bado tu haujiongezi
Unaifahamu Yericko Intercontinental Balistic Missile?Mkuu tunaeleweshana kwa facts
Hebu toa silaha mojawapo (made in Israel) ambayo ni tishio kwa dunia hii.
Pia hebu tupe list (sio list yako) toa na source the most advanced and dangerous armed forces in the world.
Tatu millitary power sio airpower tu bali combination of equipments, human resources and strategy kwa kutumia walau hivi vigezo vichache Israel inashika nafasi ya ngapi,
NOTE: Israel wa kwenye biblia sio taifa la Israel la sasa. (Biblia ilimaanisha watu wa taifa la Mubgu yaano mimi na wewe)
Linaweza kufika Iran au Urusi?Unaifahamu Yericko Intercontinental Balistic Missile?
Sio Iran au urusi Tanzania linafika....uliza lingineLinaweza kufika Iran au Urusi?
Hiyo Televisheni ya Syria tushaichoka,mbona hata siku Moja hawajawahi kutangaza vifo vilivyosababishwa na mashambulizi ya Urusi,au Urusi wao wana mabomu ya mapovu,hayaui?!At least 62 civilians have been killed in a US air force attack on two villages near Deir ez-Zor city, Syrian state news agency Sana reported.
The strikes came nearly a month after US national security adviser John Bolton vowed that American forces would remain in Syria so long as any Iranian-related forces operate there. Damascus invited Iran to help fight jihadist rebels and ISIS, while denouncing the US presence as illegal.
DETAILS TO FOLLOW
RT.com
===
ze kokuyo uwanja ni wako. Ngoja tufuatilie kilichotokea.
Trophy SystemMkuu tunaeleweshana kwa facts
Hebu toa silaha mojawapo (made in Israel) ambayo ni tishio kwa dunia hii.
Pia hebu tupe list (sio list yako) toa na source the most advanced and dangerous armed forces in the world.
Tatu millitary power sio airpower tu bali combination of equipments, human resources and strategy kwa kutumia walau hivi vigezo vichache Israel inashika nafasi ya ngapi,
NOTE: Israel wa kwenye biblia sio taifa la Israel la sasa. (Biblia ilimaanisha watu wa taifa la Mubgu yaano mimi na wewe)
ππππππππhizo silaha zimeprove effectiveness kwa wapalestina???Trophy System
Delila Missile
Spice Missile
heron drone
Jericho Missiles
Iron Dome
David Sling
Katika hizo zote hakuna nchi imewahi kuprove its effectiveness in real combat kama Israel
Jaribu kusoma kidogo kuhusu specs zake. utakuwa amaized.
Na kama ulikua hujui kuhusu air dominance ni kwamba if you control air, you control everything
Trophy System
Delila Missile
Spice Missile
heron drone
Jericho Missiles
Iron Dome
David Sling
Katika hizo zote hakuna nchi imewahi kuprove its effectiveness in real combat kama Israel
Jaribu kusoma kidogo kuhusu specs zake. utakuwa amaized.
Na kama ulikua hujui kuhusu air dominance ni kwamba if you control air, you control everything
Tukiwaambia Putin ni Myahudj mnabishia[emoji53] [emoji12]
hakuna anti missile system duniani inayoweza kuperfom kwa asilimia 90%. Iron Dome ilianza na performance ya asilimia 65% na ndo mana israeli wananufaika na hivo vi vita vidogo kwa maana wanapata nafasi ya kuboresha mifumo yao. ndo mana nchi nyingi za ulaya zinaomba kuuziwa iron dome. 90% sio mchezo.Unajua mfumo gani duniani wenye perfomance kama hiyo kwa short range missile. Wala usigoogle HAKUNA!kupigana na hamas au wapalestina waliowekewa sunction na Marekani ili tu wasiwe na advance system haitoshi.
Israel for the last 20 years hajapigana real war zaidi kuvizia majirani zake na kupiga huku akipata support ya NATO kwa ujumla wake. Hivyo sijaona kama vita au testing ground ya hizo silaha ni effective. Mfano Miaka michache iliyopita Iron Dome islishindwa kuzuia rockets za hamas hivyo kuonesha weakness kubwa.
Kati ya hizo zipi zinatitishia Urusi, Zipi zinaitisha taifa dogo kama Iran ipi inaitisha taifa la uchina?
ukiona hakuna basi jua yes wanazo silaha za kujilinda na sio tishio dunian
Jifunze kidogo kuhusu Urban Warfare na uangalie Moral Rank ya Israeli Urban warfare. Utajua kwann hawa jamaa Tech yao iko juu. kuwawezesha kuoperate kwenye mazingira kama hayo.Jiulize kwanini Warusi walipigwa KO na Taliban Afghanstan, vita vya mjini ni vita vigumu kuliko vyote. hapo ndo uwezo wako kiteknolojia unapoonekana. na israeli wanazidi kuonesha kila wakatiππππππππhizo silaha zimeprove effectiveness kwa wapalestina???
Vita ya mjini dhidi ya watu wasio na silaha? Dhidi ya watu wanaotumia mawe??? Come on man.Jifunze kidogo kuhusu Urban Warfare na uangalie Moral Rank ya Israeli Urban warfare. Utajua kwann hawa jamaa Tech yao iko juu. kuwawezesha kuoperate kwenye mazingira kama hayo.Jiulize kwanini Warusi walipigwa KO na Taliban Afghanstan, vita vya mjini ni vita vigumu kuliko vyote. hapo ndo uwezo wako kiteknolojia unapoonekana. na israeli wanazidi kuonesha kila wakati
Hamas na fatah wanamiliki silaha za mawe ndio unataka kutuambia?Vita ya mjini dhidi ya watu wasio na silaha? Dhidi ya watu wanaotumia mawe??? Come on man.
Shika adabu yako usinihusishe mimi na chama cha majambazi na watekaji we niaje ?? Kila siku tunaona Israel wanashambulia watu wanaojihami kwa mawe Hamas silaha walizonazo ni Bunduki za rasharasha tu kama credits zinatolewa hivyo basi ata polisi wa Tz wanasilaha bora duniani coz waliweza kumuua Aquiline kwenye Bus πHamas na fatah wanamiliki silaha za mawe ndio unataka kutuambia?
Tuonee huruma japo mara hii tu.
Ccm mkubwa wee!!
Pumba tupuhakuna anti missile system duniani inayoweza kuperfom kwa asilimia 90%. Iron Dome ilianza na performance ya asilimia 65% na ndo mana israeli wananufaika na hivo vi vita vidogo kwa maana wanapata nafasi ya kuboresha mifumo yao. ndo mana nchi nyingi za ulaya zinaomba kuuziwa iron dome. 90% sio mchezo.Unajua mfumo gani duniani wenye perfomance kama hiyo kwa short range missile. Wala usigoogle HAKUNA!
Israeli inaweza kuondoa silaha zote Gaza, Ila Hamas ni uwanja wa mazoezi na kama wewe ni mfuatiliaji hata Drone za Iran huwa hawazitungui hapohapo zinapototea Gaza au lebanon, kwa sababu hawana ushindani zaidi ya kutumia uwepo wao kama uwanja wa mazoezi.
kwa sababu ubongo wako unasoma 0%..unakuaje mvivu hivo?Pumba tupu