Israel yashambuliwa

Israel yashambuliwa

MWANZA_MWANZA

Member
Joined
Dec 20, 2012
Posts
32
Reaction score
25
Kufuatia shambulizi la Wanamgambo wa Palestina dhidi ya Taifa la Israel lenye Jeshi kamili,je nguvu za Israel zimeanza kupungua?,au Marekani imeacha kuilinda Israel.
 
Kufuatia shambulizi la Wanamgambo wa Palestina dhidi ya Taifa la Israel lenye Jeshi kamili,je nguvu za Israel zimeanza kupungua?,au Marekani imeacha kuilinda Israel.
Waisrael ni watu waoga tu hawewezi kupigana vita vyovyote, ni Marekani tu ndo inawapa kiburi. bila msaada wa Marekani Israel ingelikwisha kupotea kitambo
 
Waisrael ni watu waoga tu hawewezi kupigana vita vyovyote, ni Marekani tu ndo inawapa kiburi. bila msaada wa Marekani Israel ingelikwisha kupotea kitambo
Hata hujui unacho ongea maskini wewe
 
Hata hujui unacho ongea maskini wewe
ww tajiri unajua nn, Israel ni majizi tu , yamepewa ardhi ya Palestina, wakaunda Taifa lao kwa mauaji kwa msaada wa Uengereza na Marekani, na wanaendelea kupora ardhi kila kukicha, wana jeshi kamili wana silaha nzito, wana teknolojia ya kisasa, lakini jana wamevuliwa nguo wametiwa na dole na watu ambao hata nchi hawana jeshi hawana
 
It's a big intelligence mistake
IMG_20231007_215530_596.jpg
 
ww tajiri unajua nn, Israel ni majizi tu , yamepewa ardhi ya Palestina, wakaunda Taifa lao kwa mauaji kwa msaada wa Uengereza na Marekani, na wanaendelea kupora ardhi kila kukicha, wana jeshi kamili wana silaha nzito, wana teknolojia ya kisasa, lakini jana wamevuliwa nguo wametiwa na dole na watu ambao hata nchi hawana jeshi hawana
Tatizo ni uislam wako na si kitu kingine ndio maana unajadili mambo kimihemko Israel haina haja ya kuhitaji msaada wowote ili kupigana na Palestine.
 
Kufuatia shambulizi la Wanamgambo wa Palestina dhidi ya Taifa la Israel lenye Jeshi kamili,je nguvu za Israel zimeanza kupungua?,au Marekani imeacha kuilinda Israel.
Israeli ilipigwa tukio wakiwa wamejisahau tena wakiwa mapumziko ya kidini. Huenda Israeli akaichukua tena Gaza kama ilivyokuwa hapo awali.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo ni uislam wako na si kitu kingine ndio maana unajadili mambo kimihemko Israel haina haja ya kuhitaji msaada wowote ili kupigana na Palestine.
hatuzungumzii dini hapa, tunazungumzia wizi na mauaji . huko Palestina kuna wakristo na kabisa la mwanzo kabisa,

Church of the Holy Sepulchre, liko Palestina, na wakiristo wanaabudu kwa uhuru kabisa. Lakini nyie wakristo wa bongo mnaona Israel ndio mkombozi wenu, wakati wao ni mayahudi na wala hawamtambui Yesu.​

 
Waisrael ni watu waoga tu hawewezi kupigana vita vyovyote, ni Marekani tu ndo inawapa kiburi. bila msaada wa Marekani Israel ingelikwisha kupotea kitambo
Hamas hawapewi sapoti yeyote?
 
Hamas hawapewi sapoti yeyote?
hawana sapoti yoyote, kuwasaidia Hamas ni kosa la jinai, kwa hio wanaume wanajiongeza wenyewe wanatengeza silaha wenyewe, Israel sasa anapokea zaidi ya dola bilioni moja kutoka Marekani
 
Naitaka Israel ifyeke Kila kitu hapo Gaza.

Ifyeke kuanzia kuku mpaka binadamu wote WALIOPO hapo
wagalatia wa bongo na ushabiki maandazi, wale wanaume wako tayari kufa , na washasema bora wauliwe kuliko kudhalilishwa na mayahudi, lakini mayahudi sasa hayataki kufa yaani myahudi mmoja tu Akifa basi msiba mkubwa
 
Waisrael ni watu waoga tu hawewezi kupigana vita vyovyote, ni Marekani tu ndo inawapa kiburi. bila msaada wa Marekani Israel ingelikwisha kupotea kitambo

Hamas hawapewi sapoti yeyote?

sasa support anayopewa Israel utalinganisha na hamas kweli....🤷🤷🤷
Kwa hiyo lawama ziende kwa supporters?
kwa support anayopewa Israel ni Aibu kwa alichofanyiwa juzi na hamas, zile porojo Iron dime sijui zimeishia wapi sasa.
 
Back
Top Bottom