Israel yashambulia tena Gaza

Israel yashambulia tena Gaza

TuntemekeSanga

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2015
Posts
1,346
Reaction score
863
Duru za kuaminika zimeripoti kuwa, wanajeshi wa utawala katili wa Kizayuni wamefanya uvamizi mwingine katika Ukanda wa Ghaza huko Palestina.

Shirika la habari la al Karama limeripoti kuwa, wanajeshi wa Israelwaliojizatiti kwa mabuldoza matano, leo Jumatano wameuvamia Ukanda wa Ghaza katika kambi ya wakimbizi ya al Barij.

Hadi tunaripoti habari hii hakukuwa kumetolewa taarifa zozote kuhusu hasara zilizosababishwa na uvamizi huo, Hii ni katika hali ambayo wanajeshi wa utawala wa Kizayuni jana walimpiga risasi na kumjeruhi kijana mmoja wa Kipalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.


Kijana huyo wa Kipalestina hivi sasa anatibiwa katika moja ya hospitali za mji wa Baytul Muqaddas.
 

Attachments

  • 1435789737772.jpg
    1435789737772.jpg
    9.2 KB · Views: 232
Good news! Magaidi waache kuchezea taifa teule
 
Duru za kuaminika zimeripoti kuwa, wanajeshi wa utawala katili wa Kizayuni wamefanya uvamizi mwingine katika Ukanda wa Ghaza huko Palestina.

Shirika la habari la al Karama limeripoti kuwa, wanajeshi wa Israelwaliojizatiti kwa mabuldoza matano, leo Jumatano wameuvamia Ukanda wa Ghaza katika kambi ya wakimbizi ya al Barij.

Hadi tunaripoti habari hii hakukuwa kumetolewa taarifa zozote kuhusu hasara zilizosababishwa na uvamizi huo, Hii ni katika hali ambayo wanajeshi wa utawala wa Kizayuni jana walimpiga risasi na kumjeruhi kijana mmoja wa Kipalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.


Kijana huyo wa Kipalestina hivi sasa anatibiwa katika moja ya hospitali za mji wa Baytul Muqaddas.

Israel Katika Ubora Wake Na Wayahudi Katika Ubora Wao. I Love Israel.
 
hahaaaa wakuu. Nimependa Armoured-Bulldozers izo za Israel.

Jamaa next level hao. duh!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom